Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wengine mnafahamu kuwa ulaji wa vyakula vya wanga kiwango cha sukari katika mwili kinaongezeka. Kama mwili unazalisha insulin vizuri chembe hai zinauwezo wa kuchukua sukari hii na kuigeuza kua...
10 Reactions
27 Replies
5K Views
Wapo baadhi ya wanawake ambao wamewahi kupata dalili na viashiria vya ujauzito pamoja na kupimwa kipimo cha mkojo na kuthibitishiwa kuwa wana ujauzito lakini baadaye wakabaini kuwa ujauzito haupo...
1 Reactions
3 Replies
9K Views
  • Redirect
Samahan sana doctor mm Nina tatizo LA kutoa harufu mdomon hata nikila chakul nisipo kula hari n ile ile naomba msaad wako n dawa gan nitumie niondokane na tatizo hili?
0 Reactions
Replies
Views
Shisha ni uvutaji wa tumbaku uliochanganywa na ladha za matunda mbali mbali kwa kutumia hookah. Hookah ni chombo kinachohifadhi maji na huwa ina mirija kuanzia eneo lakuchoma tumbaku kupitia maji...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Njia zinazosaidia ukuaji wa mifupa ya watoto 1. Vitamin A, D na C na madini ya kalisi, chuma na fosforasi ni virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji wa mifupa ya watoto. Maziwa ya ng’ombe, mayai...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujulikana kama haemorrhiids au piles. Bawasiri inawaza...
1 Reactions
Replies
Views
Wakuu najua mko poa. Kati ya taaluma nyingi duniani nadhani hii taaluma ni muhimu kuliko hizo nyingine zote hapa duniani kama si ulimwenguni kwa ujumla. Lakini acha niseme ukweli...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimekuwa katika mahusino na binti moja. Katika romance jogoo husimama ipasavyo. Shida ni pale ninapotaka kuingia jogoo analala, na mchezo huishia apo. Tatizo nini? Nifanye nini nami nienjoy...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
-Naomba kufahamu,mtoto ana miezi saba,ila kitovu chake ni kikubwa ,Je hili ni tatizo ?!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
  • Redirect
Virusi vya hepatitis vinaua watu wengi zaidi ya Ukimwi na hata maradhi ya kifua kikuu, utafiti wa miaka 23 umebaini. Kwa mujibu wa utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Lancet, maambukizi ya...
1 Reactions
Replies
Views
Kwa takribani miezi sita sasa nimekua na tatizo lakustuka stuka nikiwa usingizini.Mwanzo nilihisi kama naota lakini ilitokea nimelala na mtu ndipo amenieleza ninavyokua. Hua mwili unakakamaa kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana jf wenzangu??, heri ya sikukuu ya eid kwa waislamu wenzetu. Kuna tatizo linanitatiza kidogo kuanzia leo usiku ambalo limempata mke wangu Mke wangu ni mjamzito wa mwezi mmoja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mim ni msichana nimeolewa huu ni mwaka wa 3 kwenye ndoa ! Tangu nilolewa nimepata 1miscarriage 1 ikiwa na miezi 3! Nikapata tena ujauzito bt mtoto akafia tumboni miezi 8!; toka hapo nina mwaka ss...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nmekua nkifanya masturbation tangu 2012. Sasa hivi umme wangu umekua dhaifu sana siwezi hata kupiga mchezo wa dakika 5.. Nahitaji msaada wakuu.. kuna dawa gani naweza tumia??
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana experience naomba msaada jamani vyakula gan vizuri mama mzazi kuongeza mtotot mi ni mchaga mkewangu kaambiwa apewe mlaso ile maziwa ya mtindi,damu ya kisusio na vinginevyo amekataa kwa...
0 Reactions
6 Replies
77K Views
Wakuu habari zenu? Kwakweli ninae mdogo wangu anasumbuliwa sana na ugonjwa wa epilepsy, na tumejitahidi sana hospital ila kiukweli haijakubali. Kwa sasa tumeamua kukomaa tu na Phenobarbiton...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
MAAMBUKIZI sugu ya njia ya mkojo (chronic urinary tract infections - UTIs) ni maambukizi kwenye njia ya mkojo ambayo hayatibiki kwa urahisi au yanajirudia mara kwa mara, Fikra Pevu inaripoti kwa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
  • Redirect
Wanajamvi hivi kuna madhara yoyote ambayo mwanaume/mwanamke anaweza kupata endapo watafanya mapenzi mwanamke akiwa kwenye hedhi?.Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
Replies
Views
Tunatafuta orodha ya madaktari na hospital pamoja na email/simu zao nchini Tanzania. Tafadhali naomba uweke jina/email/simu ya hospital au daktari unayemfahamu nchini Tanzania. Tumepata taarifa...
0 Reactions
1 Replies
899 Views
Back
Top Bottom