Jamani si utani ni ukweli kabisa yani wakati wa tendo nikishapiz basi siwez rudia tena, punyeto sipigi nakula vizuri sasa cjui tatizo nini nisaidien jamani
Kwa kuongezea mpenzi wangu huwa...
Habari zenu wapendwa
Mim ni mama mjamzito mimba ya kwanza nipo siku za mwisho kabis mda wowote Mungu akijalia najifungua..
Tatizo nimepoteza hamu ya kula kabisa nakunywa chai tu na uji pamaoja na...
Wanajamvi mimi nilikua ni muhanga wa nyeto takribani miaka nane. Manake nilivyo balehe tu nikaanza kujipimia mpaka mpaka mwaka jana ndo nimeacha nikiwa na miaka 21. Kwani nakumbuka nilivyopata...
wana sema kunako watu hakukosi jambo... Nami naamini swala langu kuna mtu huenda akawa na jawabu lake.
Toka nime zaliwa sijawai kula kabisa vyakula vya ngano... Japo nili wai kuonja mkate nikiwa...
Habari jamani,
Naombeni sana msaada wenu JF kwa mwenye ujua juu ya hili nina mama, anasumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na na chembe ya moyo. Hospitali tumeshindwa.
Msaada wa maombi ndugu...
AIDS epidemic no longer a public health issue in Australia, scientists say
Exclusive by Stephanie Dalzell
Posted Sun at 7:09am
PHOTO: Lloyd Grosse was diagnosed 30 years ago and told he had three...
Madaktari hebu nisaidieni juu ya hili,nimeshuhudia watu wengi wa karibu yangu wakifariki vifo vya ghafla baada ya kutumia dawa za kurefusha maisha(Arvs).
Naomba kujua kwa nn hali hiyo inatokea...
Juzi iliripotiwa kuibuka kwa ugonjwa wa ajabu huko dodoma na watu kadhaa walipoteza maisha.
Leo kupitia magazeti imebainika kwamba ule ni ugonjwa ambao chanzo chake ni sumu kuvu ambayo hupatikana...
Kuzeeka ni jamba moja kutoweza kuepuka kwa binadamu, lakini tunaweza kuchukua hatua kupunguza athari mbaya zilizosababishwa nalo. Na zifuatazo ni mambo 9 yatakayokusaidia kuahirisha kuzeeka.
1...
Mim ni msichana na miaka 25. Tatizo langu ni kwamba cpati ujauzito. Nshaenda hosp kwa dk msuya arusha nnikafanyiwa vipimo na dawa nikapewa nikameza lakini sipati mimba. Tatizo nilonalo alosema...
Dr. Mmoja wa saikolojia kutoka Paris Ufaransa anaejulikana Kwa dr. Smith Aley kamshauri mteja wake anyoe nywele zote sehemu za siri kutokana na mteja wake kusumbuliwa na stress na kuonekana mtu...
wataalam wa mambo ya afya naomba ufafanuzi juu ya ya tatizo ya mimba kutunga nje ya kizazi
kuna wanawake wawili kwa wakati tofauti wanapata ujauzito alafu unatungia nje ya kizazi tatizo ni...
Nikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?
Nini sababu ya urethra infections na tiba yake ni nini? Maana my urethra is rough na tiba ya UTI nimepata lakini bado nahisi kama maumivu wakati wa kukojoa. Nikiwa sikojoi nasikia kamuwasho kidogo...
Hi guys.
Ni shida,hakunaga ugonjwa wa afadhari hata mara moja,ukiumwa jino utasema bora kuharisha, sasa siku ukiharisha kiasi cha wenzako wamelala wewe usiku wako unamalizia chooni utasema bora...
Nimekuwa nikisikia uwezo wa tunda la tikiti maji katika kuhimalisha afya ya mwanadamu, lakini hivi majuzi jamaaa yangu kanieleza uwezo wake wa kuimarisha ndoa katika kutoa nguvu za kiume.
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.