Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kamakichwa cha habari kinavyosema; Nandondosha sumu ndani ya shimo mara moja na Bamia kusinyaa Mara moja. NIFANYAJE? KABLA YA YOTE HABARINI. NA NAHITAJI MSAADA WENU WANA JF...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wiki 2 zilizopita mke wangu alimaliza dozi ya ciprofaxin za India. Sasa nashangaa anaumwa tena, dalili zile zile. naomba msaada wa dawa zipi efective za kutibu typhoid. je, baada ya kumeza dawa...
0 Reactions
15 Replies
22K Views
SPECIAL FEATURES / 21 Jul '16, 4:36pm Sharon Lewin and Thomas Aagaard Rasmussen Antiretroviral therapy has revolutionised the lives of people living with HIV. In many countries, the life...
1 Reactions
1 Replies
766 Views
Wadau nisaidieni. Mke wangu anauja uzito wa miezi miwili hivi. Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno. Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Redirect
Wanajamvi habarini za leo Mimi tatizo langu nasumbuliwa sana na miguu chininya nyao wakati mwingine inawasha washa,nwakati mwingine inachoma choma na kunacwakati inawaka moto, usiku silali kabisa...
0 Reactions
Replies
Views
Wanajamii folum kwa mda sasa na tatizo la kupumua halufu nzito na kutoa halufu mbaya mdomoni inayo pelekea kunipa usumbufu kuwasilina na watu naomben msaada mawazo na nitumie dawa gan
2 Reactions
7 Replies
5K Views
  • Redirect
Wakuu nimekutana na wanaume wengi wenye hili TATIZO, baadhi nimefanyanao mahojiano lkn wengi wanasema hawajui chanzo wameshituka tu wapo hivyo shieeda Ni nini Kwa anayejua jamani mawazo, maoni au...
0 Reactions
Replies
Views
kwa mujibu wa wanasayansi na watafiti bacteria wa ugonjwa huu wanatengeneza ugumu kwa antibiotics mbili zenye uwezo wa kupambana na bacteria hawa. Hali ikiendelea hivyo watakosa dawa. Tunahaswa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Redirect
Natatizo la kutoa halufu mbaya puani na mdomoni nitumie dawa gan
0 Reactions
Replies
Views
Habari zenu! Nimewahi sikia kuwa endapo mwanamke atajifungua mtoto wa kwanza kwa njia ya operation, basi watoto wanaofuata yeye kujifungua basi nao watazaliwa kwa njia ya operation. Je kuna...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
habar ndugu. mim ni mzaz wa mtoto mwenye umri wa miez saba sasa ila haongezeki uzito kwa haraka. mara kwa mara nkimpeleka kliniki huongezeka gtam chache sana au kilo hubaki hapo hpo. sasa anamiez...
0 Reactions
9 Replies
15K Views
Hii ni knowledge alinifundisha mwalimu wangu wa BIOLOGY sasa cjui ni ya kweli coz bado sijafika mda wa kujaribu ila kwa wewe unaetaka mtoto wa kiume na hupati jaribu hii trik kabla ya kwenda kwa...
1 Reactions
237 Replies
78K Views
Wadau nisaidieni, Mke wangu anaujauzito wa miezi miwili hivi.Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno. Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari wanajamii, Kumekuwa na wimbi la wanaume wengi wakisema wamejihusisha na punyeto na kupata madhara, sasa nikawa najiuliza nini hatima ya hawa ndugu zetu maana sijawahi kuona watu wanatoa...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini JF Kama heading inavyojieleza, kuna jamaa yangu aliniuliza, Azoospermia ni tatizo gani, Na Je, linatibika? Sikuwa na uelewa sana juu ya hilo tatizo japo najua linahusiana na mambo ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu natumai hamjambo. Nina sumbuliwa na maumivu ambyo huanzia kwenye uti wa mgongo juu kidogo ya kiuno na kusambaa kwenye misuli ya tumbo pande zote. Maumivu haya hutokea kama "electric shocks"...
0 Reactions
Replies
Views
Habari za hapa, Hii hali siielewi itaisha lini, huwa nakuwa mkali ghafla inayoambatana na mawazo mengi kiasi kwamba hadi inaathiri mfumo wa hedhi najikuta inakuwa mara 2 kwa mwezi hasa pale mtu...
2 Reactions
55 Replies
6K Views
Habari zenu wanajukwaa naomba kujuzwa hivi ulaji wa mbegu za machungwa una athari yoyote mwilini kama ukila chungwa na kulitafuna mbegu zake
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Kwa anaejua kazi ya hizi dawa ziitwazo neurobine fort na kaz zake
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Back
Top Bottom