Ndugu wadau mwanamke anayenyonyesha anaweza akapata ujauzito? Maana kuna watu wanasema kunyonyesha ni moja ya kinga ya ujauzito. Je ni Kweli? [emoji68]
(CNN)In 2008, one man, Timothy Ray Brown, was cured of HIV.
Also known as the "Berlin patient," Brown was considered cured of his infection after receiving two bone-marrow transplants to treat a...
Inasemekana kuwa, kadri uwezo wa uelew kwa watoto wa kike, wavulana, wanaume na wanawake wanavyozidi kupanuka ki upeo kuhusu ELIMU YA AFYA YA UZAZI, ndivyo utoaji wa mimba unavyokuwa mwepesi na...
Habarini wadau, Shikamooni wakubwa
Naombeni ushauri kwenu kuhusu hili tatizo langu. Mwenzenu napenda kula kupita maelezo, sasa hili tatizo linaniboa pia linanisikitisha kiafya. Maana sometimes...
Kuna jamaa best yangu sana kiasi sometimes hushare vitu very personal. So ana kitu kimoja, anapiga nyeto toka kitambo but in this form; Analala tu kifudifudi kitandani na kuvuta hisia anapiga...
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25 nina mke wangu shida angu ni kwamba kama kuna mtaalamu humu ndani anisaidie maana mke wangu anaonyesha dalili zote za kuwa mja mzito kama kutopa siku zake...
Ndugu wana JF, naomba kuuliza kuna siku rasmi ambazo mwanamke na mwanamume wakikutana anatokea mtoto wa kiume?
NB: Naomba nieleweke kwamba lengo langu ni kutaka kujua namna ya kupanga kutungisha...
Pengine heading haijielezi vizuri ila
Nakumbuka mara ya kwanzà 2006 nikiwa nafanya ma....!! uume haukusimana vizuri nilipiga kimoja tu bas ila siku nyingine mambo yakawa poa. Hivi mara ya kwanza...
Ndugu madaktari na Wauguzi,habari zenu,poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu hili.Naomba msaada wenu wa hali na mali kuhusu nifanyaje kuhusu bibi yangu.
Bibi yangu ni mzee karibia zaidi ya...
kuna ndugu yangu ana ukimwi tena sio nasikia yani najua na vipimo vyake vyote navijua.
alianza kutumia dawa tangu nikiwa form1 mpaka saizi.
kaja huku kijinini kaanza kugawa utamu ovyo kwa...
UJANA ni kipindi cha mpito kutoka utegemezi wa utoto hadi utu uzima huru na ufahamu wa kutegemeana kwetu kama wanachama wa jumuiya.
Hata hivyo, umri ni njia rahisi ya kufafanua kundi hili, hasa...
Faida ya matumizi ya zao la karoti pamoja na faida zinazopatikana kutokana na utumiaji wa zao hilo, ambalo kimsingi mizizi yake ndiyo hasa zao lenyewe.
kumbuka kuwa karoti inalimwa karibu kila...
Ni kijana 27 yrs, hilo tatizo limenikumba mwezi na nusu sasa. Kila ninapoamka asubuhi jogoo kalala tu imefika wakati naogopa kukutana na mtu wangu nikiogopa kudhalilika. Msaada tafadhali.
Cc...
Heshima kwenu wote mnaostahili kuheshimiwa,
Naomba kujua umri sahihi wa mtoto wa kiume kutahiriwa,maana nimekupa napat changamoto sana,mtaani kwangu kuona watoto wadogo chini ya miaka miwili...
The National Institutes of Health has awarded approximately $30 million in annual funding over the next five years to six research collaborations working to advance basic medical science toward an...
Gazeti la leo la Mwananchi limeripoti kuwa kuna dawa feki za kupunguza makali ya ukimwi kuwa zik mtaani kwa muda toka mwezi Machi, hii imekaaje wadau? hivi kweli hawa tuliowapa dhamana ya...
Hi,
Nina mamybaby wangu ambae kutokana na malengo yetu niliamua kumuweka kipandikizi ili kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Sasa tatizo baada ya kumuweka tu yaani siku zake badala ya siku tatu sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.