Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naombeni msaada tafadhali mwanangu hataki kula kabisa ana miezi 11 na alikataa ziwa akiwa na miezi 6.. yaani kula mpaka umkabe natumia nguvu nyingi kumkaba mpaka nahisi namuumiza. Hataki maziwa...
0 Reactions
4 Replies
759 Views
mwenye uelewa na ugonjwa huu dalili zake na matibabu yake tafadhali naomba anijuze
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kuna mtu wa kike wa rafiki yangu ana miaka mitatu yapo na tatizo la kutokwa na udenda mdomoni, Naombeni tumshauri tiba yake
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Quinine yasababisha mtoto kuzaliwa kiziwi Na Veronica Romwald, Dar es Salaam MATUMIZI yasiyo sahihi ya dawa zenye sumu kali ikiwamo Quinine inayotibu malaria imetajwa kuwa hatari kwa sababu...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
habari za kutwa wakuu.. jamani muda kama wa nusu saa iliopita nmepatwa na hali ambayo sijaielewa. Gafla tu moyo umeanza kwenda mbio sana alafu nikainuka nilipo nikawa sijielewi nataka kufanya...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Wakuu Habari Zenu!!! Hivi Ni Kweli Eti Gangrene (Donda Ndugu) Halitibiki??
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Jamani natafuta doctor mzuri wa ngozi kwaajili ya kuondoa madoa meusi usoni au kama kuna mtu anajua dawa yake tafadhari msaada
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jaman wana forum naomben msaada nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume kwa muda mrefu tatizo hilo huambatana na maumivu makal chin ya kibofu nilienda hospital wakanipima docter...
1 Reactions
14 Replies
12K Views
Habari za mchana, Nina tabia ya kugugumia Maji lita moja na nusu kwa mkupuo na Hapo nakuwa nimemaliza hadi wakati wa Kulala ndio nakunywa tenants. Je Tabia hii ya kugugumia kiasi hicho cha Maji ni...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana mwezi wa 11, nikaenda hospitali nikachomwa ceftri 5 hazikusaidia hata kidogo, nikaenda kwa dr mwingine akanipa tetrac na metro tatizo likakata kwa wiki...
1 Reactions
19 Replies
27K Views
Habari wakuu ndani ya JF, Nina mpenzi wangu sijajua anatatzo gani? Tunataka tuwe na mtoto tatizo ikifika siku za uhakika za kushika mimba tunasex alafu baada ya siku tatu au nne tukijua mimba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi,ninaomba kujuzwa dawa ya kumaliza tatizo hili.Nimekwisha tumia dawa mbalimbali lakini tatizo bado lipo palepale.Naomba anaye fahamu please anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kama umetumia dawa haikufanya kazi je kuongeza dose kubwa zaidi ya awali inaweza kusaifia au ndo bacteria ashakuwa totally resistant? na dawa husika
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Je mafuta ya Cod liver maarufu kama SevenSeas yanafaa kuwapa watoto wa chini ya miezi sita? Naomba mwenye uzoefu nayo....faida na hasara zake.....na dozi sahihi....asanteni!
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Wana JamiiForums, Nilikuwa nauliza swali moja, Mimi niko kwenye mahusiano kwa kipindi kuna changamoto niliyokutana nayo hivi karibuni nilikuwa na mpenzi wangu katika hali ya kutaka kufanya tendo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wife ana mimba ya miezi 6 sasa katoka clinic ananiambia docta kuangalia kaona mimba ipo kwa juu upande sasa hii imenipa wasiwasi sana je tatizo gani linaweza kutokea na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nawasalimu Wanabodi Wote Humu. Ningependa Ikiwa Kuna Mtu Yoyote Anayejua Haya Matunda Hapa Nchini Yanalimwa Wapi Na Faida Zake ? Nilisikia Baadhi Ya Watu Wanasema Yanasaidia Kusafisha Kidole...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kuna rafiki mmoja mtoto wake wa umri wa miezi miwili ana tatizo hilo
0 Reactions
19 Replies
29K Views
Naombeni mawazo yenu mtoto wangu hakui/haongezeki uzito wala unene toka azaliwe ana miezi minne sasa
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari wanajamvi.. Utafiti uliofanywa na Dk Brian unaonyesha kuwa uvaaji wa chupi au boxer wakati wa kulala ni hatari kiafya kwa watu wote. Baadhi ya madhara hayo ni Ugumba na maambukizi ya...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Back
Top Bottom