Ushauri: Jinsi ya kunywa maji

apprentice1997

Senior Member
Jun 8, 2016
107
99
Habari za mchana, Nina tabia ya kugugumia Maji lita moja na nusu kwa mkupuo na Hapo nakuwa nimemaliza hadi wakati wa Kulala ndio nakunywa tenants. Je Tabia hii ya kugugumia kiasi hicho cha Maji ni sahihi kiafya? Kama Si sahihi itaniletea madhara yapi? Asante
 
mh kama unafanya hivyo na hupati madhara yoyote hongera mkuu ila kiafya unatakiwa unywe maji kidogo kidogo ili yafanye kazi vizuri maana ukiyanywa mengi kwa mkupuo huko sehemu ya kujihifadhi mwisho hutoka kwa wingi kwa njia ya mkojo.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom