Habari wanajamvi..
Utafiti uliofanywa na Dk Brian unaonyesha kuwa uvaaji wa chupi au boxer wakati wa kulala ni hatari kiafya kwa watu wote.
Baadhi ya madhara hayo ni Ugumba na maambukizi ya...
Habarini wanajamvi,
Naomba kufahamu kwa mwenye uelewa kuhusu ugonjwa wa TAMBAZI ambao dalili zake ni maumivu ya ndani kwa ndani, kwenye mikono au miguu.
Ahsante.
Habari zenu
Kama kichwa cha habari kisemavyo nipo nae Kwa takriban miaka minne sasa na kipindi chote tukikutana 100% tulikuwa tunaridhishana, lakini kwenye hizi siku za usoni kama miezi miwili...
KISUKARI NAMNA YA KU-CONTROL SUGAR
Hutokea mara moja moja kuamka sukari iko juu(8-10) nina 55yrs
Aidha kwa sbb zisizoeleweka(Malaria) au kubadilika muda wa kula au chakula hasa matunda/juice...
Wandugu habari zenu,
Wakuu naombeni yeyote ambaye anafahamu/ ama alisha wahikutumia dawa za kimasai za kukuza maumbile ya kiume jamani anisaidie na mimi nipate, nina tatizo la maumbile madogo...
Wakuu habari zenu
Nisiwachoshe sana, ni kwamba mke wangu kila anaposhika ujauzito naumwa sana kiuno na hali hiyo itaendelea hadi atakopojifungua nakuwa mzima kabisaa hata chembe ya maumivu, je...
Sikuwahi kufikiria kuna siku hospitali zetu zitakosa sindano muhimu kama hii ya tetenas teba haoa Dar. na wizara ya afya ikakaa kinya bila hata kutoa tamko au kutujulisha wananchi juu ya uhaba...
Mwanamke akipata chanjo ya homa ya ini, ugonjwa ambao unaua na kusumbua wengi duniani ikiwamo Tanzania. Picha ya Mtandao
KWA UFUPI
Wataalamu wanaeleza kuwa Hepatitis B au homa ya ini ni...
Je, una mtoto mwenye tabia zifuatazo;
*Mtundu kupita kiasi?
*bado hawezi kuongea ingawa umri wake inatakiwa aongee?
*hulia ama hucheka bila sababu?
*Anachakua sana chakula kupita kiasi?
*je...
Juzi ulisema madaktari wanafanya biashara na MRI kwa kuwaelekeza wagonjwa kwenda kwenye hospitali binafis. Bado mchezo huo unaendelea. Leo wagonjwa bado wanaelekezwa huko kwa watu binafi. Chukua...
Naamini almighty amewapa afya, na wale wauguao mungu awaponye!
Niende kwenye shida yangu straight, Ni week ss sijakutana namwanamke ila kuna mabadiliko yanantisha kidogo hasa niendapo haja ndogo...
wakuu heri ya pasaka, ni zaidi ya miaka 20 tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi limekua likinikabili ila sikuwahi fuatilia chanzo na treatment. Hili tatzo hua linatokea hasahasa muda wa kuswaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.