Mpenzi wangu amejisaidia haja ndogo kitandani, kumuuliza akasema ni bahati mbaya

chilumendo

JF-Expert Member
Oct 26, 2013
2,903
3,080
Wanaukumbi kwanza nawasalimu nyinyi nyote mtakaosoma post yangu hii.Nirudi kwenye mada, ninaye mpenzi ambaye tumedumu naye karibu mwezi mmoja na nusu yeye anakaa kwake amepanga nyumba na mimi ninakaa kwangu sasa katika huo muda wa mahusiano kuna muda hua naenda kulala kwake kama mara nne hivi vivyo hivyo naye huwa anakuja kulala kwangu.

Sasa sababu ya kuleta post hii hapa jamvini ili nipate ushauri, ni kwamba kuna siku alilala kwangu wakati wa usiku wa manane nikajihisi nimelalia maji nilivyoshituka kumshitua mpenzi wangu kwamba haya maji yametoka wapi akasema ni yeye amekojoa kwa bahati mbaya. Nilivyombana ni kwanini akojoe kitandani badala ya chooni akasema mkojo ulikuwa umembana sasa akasema ngoja alale kidogo ndoto ikamjia anakojoa nje kumbe ni kitandani.

Nilivyomuuliza kama hali hiyo ilishajitokeza huko nyuma akasema kama miaka mitatu iliyopita tukio hilo lilijitokeza ombi langu kwenu wadau huyu ni mpenzi niliyekuwa nina mpango wa kumchumbia hivi karibuni lakini kwa tabia hii nimevunjika moyo kabisa, nilikuwa naomba ushauri katika jambo hili kama kweli linaweza kujitokeza kwa mtu kukojoa kitandani kwa bahati mbaya au hilo ni tatizo la kudumu.
 
Heading ulivyoiandika unaonesha ni mstaarabu. Usimuache maana ni tatizo na kinasolvika, ingekuwa ni tabia sawa lkn ni ugonjwa
 
Maradh hayo mnunulie nepi tuu uoe km unampenda kuhusu kwenda kwa dokta ww unafkiri hajaangaika ametafuta sana dawa ndo unamuona leo imeteleza kajikojolea
 
Ha ha haaa hata mm nilishawahi kukojoa kitandan nikiwa secondary.. acha kabisa hizi ndoto ni balaa unaota umefika chooni kabisa ndio unakojoa ndio unakojoa kweli..ila tangu hapo haijawah tokea.
Mkuu hiyo hali ni ya kawaida na mara nyingi hutokea mtu akilala mchovu. Ila sio ugonjwa wala nini
 
Wanaukumbi kwanza nawasalimu nyinyi nyote mtakaosoma post yangu hii.
Nirudi kwenye mada, ninaye mpenzi ambaye tumedumu naye karibu mwezi mmoja na nusu yeye anakaa kwake amepanga nyumba na mimi ninakaa kwangu sasa katika huo muda wa mahusiano kuna muda hua naenda kulala kwake kama mara nne hivi vivyo hivyo naye huwa anakuja kulala kwangu.
Sasa sababu ya kuleta post hii hapa jamvini ili nipate ushauri, ni kwamba kuna siku alilala kwangu wakati wa usiku wa manane nikajihisi nimelalia maji nilivyoshituka kumshitua mpenzi wangu kwamba haya maji yametoka wapi akasema ni yeye amekojoa kwa bahati mbaya.Nilivyombana ni kwanini akojoe kitandani badala ya chooni akasema mkojo ulikuwa umembana sasa akasema ngoja alale kidogo ndoto ikamjia anakojoa nje kumbe ni kitandani.
Nilivyomuuliza kama hali hiyo ilishajitokeza huko nyuma akasema kama miaka mitatu iliyopita tukio hilo lilijitokeza
Ombi langu kwenu wadau huyu ni mpenzi niliyekuwa nina mpango wa kumchumbia hivi karibuni lakini kwa tabia hii nimevunjika moyo kabisa, nilikuwa naomba ushauri katika jambo hili kama kweli linaweza kujitokeza kwa mtu kukojoa kitandani kwa bahati mbaya au hilo ni tatizo la kudumu.

Kaka mkubwa pole na majukumu,wengine huwa wanaharibu ile kubwa,ila kwa vile wakwako anaharibu ndogo huwa inatibika sana. Muweke karibu,msaidie kiutu uzima,usimkimbie.
 
Ha ha haaa hata mm nilishawahi kukojoa kitandan nikiwa secondary.. acha kabisa hizi ndoto ni balaa unaota umefika chooni kabisa ndio unakojoa ndio unakojoa kweli..ila tangu hapo haijawah tokea.
Mkuu hiyo hali ni ya kawaida na mara nyingi hutokea mtu akilala mchovu. Ila sio ugonjwa wala nini

mmmh cute b ndiyo ushindwe kujitambua hadi ukojoe kitandani tena ukiwa na mpenzi wako
 
Umedumu nae mwezi mmoja na ulikua una mpango wa kumchumbia hivi karibuni? that means within six month ungeoa kabisa?kasheshe, in short huyo ni mrembo kikojozi but kama wampenda mvumilie mtafute solution pamoja
 
mmmh cute b ndiyo ushindwe kujitambua hadi ukojoe kitandani tena ukiwa na mpenzi wako

Ni kawaida nakwambia...ni kawaida sana wew ondoa hofu cha muhimu asilale akiwa amebanwa na mkojo, maana hadi ndoton atakuwa amebanwa na sharti ni lazma ataenda kukojoa.....akikojoa tuu kwisha habar
 
Kaka mkubwa pole na majukumu,wengine huwa wanaharibu ile kubwa,ila kwa vile wakwako anaharibu ndogo huwa inatibika sana. Muweke karibu,msaidie kiutu uzima,usimkimbie.

asante mkuu ila baada ya tukio hilo upendo wangu kwake umeisha kabisa najiuliza kama nikimuoa alafu kaenda kukojoa ukweni (kwetu) sijui nitaelewekaje huko nyumbani
Vipi kuhusu wanaume nao baadhi wanatatizo kama hili au linawahusu wanawake tu
 
Ni kawaida nakwambia...ni kawaida sana wew ondoa hofu cha muhimu asilale akiwa amebanwa na mkojo, maana hadi ndoton atakuwa amebanwa na sharti ni lazma ataenda kukojoa.....akikojoa tuu kwisha habar

mmmh cute b hivyo unanishauri nimvumilie tu
 
Wanaukumbi kwanza nawasalimu nyinyi nyote mtakaosoma post yangu hii.
Nirudi kwenye mada, ninaye mpenzi ambaye tumedumu naye karibu mwezi mmoja na nusu yeye anakaa kwake amepanga nyumba na mimi ninakaa kwangu sasa katika huo muda wa mahusiano kuna muda hua naenda kulala kwake kama mara nne hivi vivyo hivyo naye huwa anakuja kulala kwangu.
Sasa sababu ya kuleta post hii hapa jamvini ili nipate ushauri, ni kwamba kuna siku alilala kwangu wakati wa usiku wa manane nikajihisi nimelalia maji nilivyoshituka kumshitua mpenzi wangu kwamba haya maji yametoka wapi akasema ni yeye amekojoa kwa bahati mbaya.Nilivyombana ni kwanini akojoe kitandani badala ya chooni akasema mkojo ulikuwa umembana sasa akasema ngoja alale kidogo ndoto ikamjia anakojoa nje kumbe ni kitandani.
Nilivyomuuliza kama hali hiyo ilishajitokeza huko nyuma akasema kama miaka mitatu iliyopita tukio hilo lilijitokeza
Ombi langu kwenu wadau huyu ni mpenzi niliyekuwa nina mpango wa kumchumbia hivi karibuni lakini kwa tabia hii nimevunjika moyo kabisa, nilikuwa naomba ushauri katika jambo hili kama kweli linaweza kujitokeza kwa mtu kukojoa kitandani kwa bahati mbaya au hilo ni tatizo la kudumu.

Siri ya watu wawili hiyo nunua mpira weka ktk godoro kwa hatua za awali .
Pili msimamie usiku kuamka aende kukojoa.
Tatu afanye mazoezi.
Nne afuate ratiba za kutokunywa maji usiku
Tano kama hali inaendelea Mtafutie dawa anza na ndevu za mahindi chemsha na maji kisha anywe maji yake kwa muda wa siku 7 kwa uwezo wa mungu atapona.Usisahau mrejesho
 
usimuache kisa anakojoa kitandani kama unampenda endelea nae ataacha tu kwani umesema upo nae mwezi kakojoa mara 1 hiyo ni bahati mbaya tu hata wewe inaweza kukutokea pia.,af kukojoa kitandani mara moja kwa mwezi sio mbaya
 
Mnakunywa dozen moja ya Azam soda usiku ndiyo tatizo!!! Mwanaume aliyekamilika hakimbii tatizo mwanaume aliye kamilika anatatua matatizo na changamoto anazokumbana nazo ktk maisha!! Mm ni mwanaume Ila nilisha wahi nitokea ukubwani nikajikojolea hadi mkojo ukaisha kidogo nijinyee [joke]!! Je hilo tatizo lingekuwa ni lako ungejisikiajee!!! Kwenye mapenzi kuna raha na shida we tunataka uwe nae kwenye raha tuuuuuuu????? PMF
 
private issues kama hizi unazileta huku?
are you mentally deranged?
mnakera sasa wana MMU...!
anyway,hilo ni tatizo la kawaida tu na linatibika,kama unampenda utamtibu
lakini kama unataka kutumia kisa hichi ili kumuacha it's your choice

NB:ungepitia Jf doctors kwanza kabla ya kuja huku..!
 
Back
Top Bottom