wizi mtupu kubebeshana vindoo kila wiki...
nasikia TFDA na mkemia mkuu wamekana kuithibitisha au kuitambua dawa hii!
pole sana mkuu!lakini inasikitisha zaidi kwa sisi wasomi tukiiamini hizi tiba feki!Msinikumbushe Kovu..hawa matabibu feki niliwapita wote kipindi cha kumuuguza mama yangu mpendwa lakini aliishia kufariki.! SITAKI HATA KUWASIKIA! MATAPELI!
Kwa kuongezea hapa mkuu ni kwamba hata hao ma MD ni kanyaboya tupu siku hizi tuna maksi za kutokana na nyeti, vifaru, makombora na kizinga, manake mtaalamu nyeti kama huyu anakaririshwa theory badala ya vitendo zaidi. Ukienda kwenye clinical procedure siku hizi ni kuomba rushwa kwa wagonjwa tu wakati huo huo vifaa/ vitendea kazi unakuta ni OS hivyo hata kama unataka kufanya follow up management ya mgonjwa uliyekuwa assigned inakuwa vigumu.Watanzania tunamatatizo mengi sana sector ya afya na ndio maana wananchi wanapoteza imani na hospital zetu. Na anapojitokeza mtu yeyote wa uongo kama akina Rehab,Ndodi na babu wa Loliondo watu wanakimbilia huko wakifikiri ni mwisho wa matatizo yao kumbe ndo wanaongeza matatizo na kwenda hospital amekwisha na sisi hatusiti kucertify na kutoa burial permit. Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani kwa ushirikina refer mauji ya albino, vikongwe, uchunaji wa ngozi vikombe hii inadhihirisha huduma za jamii zilivyombaya kiasi kwamba watu wake hawatrust. Fikiri serikali inaajiri MA AMO na CO wakati MD wapo wanazurura mtaani haya ndo matokeo yake.
Kuna jamaa yangu alipona ivyo vidonda tena mtoa dawa anakupa na kukuambia ukipona ndo uje kulipa kama shukrani kwanza kwa mola then kwake!
Ukiona dawa yoyote inatangazwa sana ujue ina walakini
mimi nilidhani ni madawa ya kusafisha tumbo kutoka kwa wamasai ndio hufanya hivyo,kumbe hata ukinywa fiterawa inabidi usikae mbali na uani!!!!.........Kuna jamaa yangu alitumia hiyo dawa ya Rahabu kwa mwaka mzima aliishia kuharisha tu, hakupona wala nini. Labda inategemea na stage ya vidonda vya tumbo vya mtu. Lakini sasa yupo poa baada ya kunywa vidonge alivyopewa hospital.
Tupatie namba mkuu. Hiyo dawa ya dada Rahabu inayoitwa fiterawa ni wizi mtupu. Watu wanainywa na kuharisha sana lakini hawaoni mabadiliko ya maana. Badala yake yeye mwenye hiyo dawa anaendelea kunawili siku hadi siku kwa fedha za wagongwa. Siku hizi hata 'ttako' limeongezeka.wa kuu kuna Mama mmoja yuko mara ana dawa ya vidonda vya tumbo na mtu anapona kabisa kuna watu wangu kama watatu wametumia na wamepona so kwa anae hitaji nitawapatieni namba zake
Dah! mkuu pole sana.Msinikumbushe Kovu..hawa matabibu feki niliwapita wote kipindi cha kumuuguza mama yangu mpendwa lakini aliishia kufariki.! SITAKI HATA KUWASIKIA! MATAPELI!