Joyeuse
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 267
- 159
Habari waungwana wanaJF,
1. Nataka kujua kuna dalili zipi zinazomjulisha mjamzito kwamba mtoto ameshageuka kichwa chini?
2. Nina ujauzito wa 34 weeks ila nashinda na kopo ndani la kukojolea maana nachoka kutoka kwenda msalani chanzo ni nini?
3. Sipati usingizi usiku kucha ila ikifika sasa moja asubuhi lazima nilale. Usiku kucha ni mwendo wa mateke kama nimembeba John Cena yaani. Nahitaji suluhisho hapa penye usingizi.
Natanguliza shukrani.
1. Nataka kujua kuna dalili zipi zinazomjulisha mjamzito kwamba mtoto ameshageuka kichwa chini?
2. Nina ujauzito wa 34 weeks ila nashinda na kopo ndani la kukojolea maana nachoka kutoka kwenda msalani chanzo ni nini?
3. Sipati usingizi usiku kucha ila ikifika sasa moja asubuhi lazima nilale. Usiku kucha ni mwendo wa mateke kama nimembeba John Cena yaani. Nahitaji suluhisho hapa penye usingizi.
Natanguliza shukrani.