Godwin Mneng'ene
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 215
- 84
Leo jioni kikao cha Bunge kinaongozwa na Mhe Zungu,
kwanza nampongeza kwa kumreplace simbachawene.
ngoja tumcheki busara zake , asije kuwa kama Mh Silvesta Masele Mabumba, huyu jamaa akiongozaga
vikao vya bunge huwa anachemshaga sana.
kwanza nampongeza kwa kumreplace simbachawene.
ngoja tumcheki busara zake , asije kuwa kama Mh Silvesta Masele Mabumba, huyu jamaa akiongozaga
vikao vya bunge huwa anachemshaga sana.