Leo Bungeni katika kipindi cha maswali na majibu wauliza maswali na wanaojibu wamekuwa wakikatishwa bila hoja maalum kueleweka kwa Muuliza swali na anayepaswa kujibu.
Wasiouliza nikupiga makofi kwa wingi.
Mkiti wa Bunge alikuwa ZUNGU. Hakuna utaratibu wala muongozo.
Afya ya Bunge letu iko wapi?
Wasiouliza nikupiga makofi kwa wingi.
Mkiti wa Bunge alikuwa ZUNGU. Hakuna utaratibu wala muongozo.
Afya ya Bunge letu iko wapi?