Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,287
- 271,519
Zuio lile batili lilianza tangu June 10 2025 lengo likiwa kumsaidia mgombea wa com kupita bila kupingwa, miezi 6 yake imeisha Dec 10 Mwaka huohuo
Hili jambo ndio analopaswa kuelimishwa RPC Mjinga wa Mbeya, Miaka 33 ya Chadema inaadhimishwa Nchi nzima kwa kuzindua hiki na kile zikiwemo ofisi mpya za Wilaya, Mikoa na Kata, Mbona kwingine hawakamatwi?
Nachukua nafasi hii kumuonya RPC wa Mbeya kwamba vyeo huisha, Mwangalie Omari Mahita Leo alivyo, si ccm Wala serikali inayoweza kumrudishia figo zake Wala kumuondolea Kisukari
Hili jambo ndio analopaswa kuelimishwa RPC Mjinga wa Mbeya, Miaka 33 ya Chadema inaadhimishwa Nchi nzima kwa kuzindua hiki na kile zikiwemo ofisi mpya za Wilaya, Mikoa na Kata, Mbona kwingine hawakamatwi?
Nachukua nafasi hii kumuonya RPC wa Mbeya kwamba vyeo huisha, Mwangalie Omari Mahita Leo alivyo, si ccm Wala serikali inayoweza kumrudishia figo zake Wala kumuondolea Kisukari