Zuberi mbyana ni nani huyu ?

Zuberi mbyana ni nani huyu ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,582
Reaction score
272,325
Gazeti la Raia Mwema limemtambulisha kama Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ilemela , Wanaomfahamu watupe habari zake .
 
Halikuwa mkurugenzi wilaya BIHARAMULO , Ndiye aliyetangaza matokeo ya CHADEMA KUPATA USHINDI bIHARAMULO, Before alikuwa Muleba. Kwa sasa kahamishiwa ilemela. Ni alhaji
 
NI Msanii sana na mwepesi kutumika kwa ajili ya chama anatabia ya kujikomba sana kwa wakubwa ana uwezo mdogo sana wa reasoning.
 
NI Msanii sana na mwepesi kutumika kwa ajili ya chama anatabia ya kujikomba sana kwa wakubwa ana uwezo mdogo sana wa reasoning.
kanga usiseme kitu usichokijua. Ni mtu mwaminifu, mchapakazi. Ameanza kama Mwalimu akjiendeleza mpaka alipo. Hafungamani na upande wowote ndio maana hata kule Biharamuro alitangaza matokeo kihalali kabisa. So he's strong leader.
 
Last edited by a moderator:
kanga usiseme kitu usichokijua. Ni mtu mwaminifu, mchapakazi. Ameanza kama Mwalimu akjiendeleza mpaka alipo. Hafungamani na upande wowote ndio maana hata kule Biharamuro alitangaza matokeo kihalali kabisa. So he's strong leader.

Kwa yanayoendelea Ilemela do you think he is still a strong leader ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom