Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,378
Inauzwa shiling ngapi kwa jumla na rejareja?
pia ina ussd function
Hata kwangu pia inakataa pupiga simu na nikijaribu kupiga namba ambayo iko kwenye modem naambiwa number busy.
Natumia modem ya HSUPA USB stick, model yake ni MF 190. Msaada please...
Duh pole mkuu mimi kwangu inakubali bila ya tatizo ni haitakii kuangalia salio wala kununua tigopesa au mpesa
e 303 ya vodacom ni ZTE au....siyo?