Kwa usawa huu wa kuisoma namba, tutarajie mitandao mingi kifo cha mendeAjira hamna
Hata Halotel nao hawaajiri?
kote ngoma nzito. Sijui tutafanya nini ili kuinua kipato chetu. Tuliohitimu mwaka 2015 na kuendelea hali ni mbaya na huku deni linazidi kuongezeka huko board