Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,865
- 8,886
Wakuu hivi ni mie tu au tupo wengi
Maana nimekuwa niki login kwenye Zoom inakataa.Na hii imetokea baada ya ku update website yao.
Na hata kuna mfumo fulani wa link yao ukifungua inakuja web not found,na erro kadhaa
Nilipiga sim nikaambiwa nitapigiwa,olaa,kucheck tena nitaakimbiwa nitataarifiwa olaaa
Wenyekujua wanijuze,au ni details zangu peke yangu ndio zenye nuksi
Maana nimekuwa niki login kwenye Zoom inakataa.Na hii imetokea baada ya ku update website yao.
Na hata kuna mfumo fulani wa link yao ukifungua inakuja web not found,na erro kadhaa
Nilipiga sim nikaambiwa nitapigiwa,olaa,kucheck tena nitaakimbiwa nitataarifiwa olaaa
Wenyekujua wanijuze,au ni details zangu peke yangu ndio zenye nuksi