Joe Navarro
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,475
- 3,067
Nilipokuwa Juventus katika moja ya mechi dhidi ya Intermilan.
Materazzi alinichezea rafu mbaya kwa kusudi na kuniumiza.
Nilitamani kurudi na kulipiza ilishindikana.
Niliporudi Ac Milaln Kati ya moja ya Derby kikosi chao chote kilikuwa na Mkakati ovu kwangu.
Nikalimwa rafu kwenye kisanduku na mtu yule yule.
Materanga The Matrix akajisahau na ndio alipata nilichosubiri kumpa kwa miaka 4.
Dejan Stankovic aliponiuliza iweje unamtendea hivi. ? nlimjibu "Nilisubiri moment hii kwa miaka mingi "
Nilimpa Taekwondo Move iliyompeleka Hospitali moja kwa moja.
Zlatan Magic Ibra
"I don't like Humans and Lions are not Humans"
Usijisahaulishe ubaya unao mfanyia mtu hata Kama kaupotezea.
Materazzi alinichezea rafu mbaya kwa kusudi na kuniumiza.
Nilitamani kurudi na kulipiza ilishindikana.
Niliporudi Ac Milaln Kati ya moja ya Derby kikosi chao chote kilikuwa na Mkakati ovu kwangu.
Nikalimwa rafu kwenye kisanduku na mtu yule yule.
Materanga The Matrix akajisahau na ndio alipata nilichosubiri kumpa kwa miaka 4.
Dejan Stankovic aliponiuliza iweje unamtendea hivi. ? nlimjibu "Nilisubiri moment hii kwa miaka mingi "
Nilimpa Taekwondo Move iliyompeleka Hospitali moja kwa moja.
Zlatan Magic Ibra
"I don't like Humans and Lions are not Humans"
Usijisahaulishe ubaya unao mfanyia mtu hata Kama kaupotezea.