mwaka 2010 wakati samwel eto'o anahama kutoka barca kwenda inter wakipshana na ibra cadabra aliekuwa anatoka inter kwenda barca, jose mourinho aliyekuwa kocha wa inter,alinukuliwa akisema barca wamebadilisha rungu kwa bunduki, leo ndo nimeelewa alikuwa na maana gan