Ziwa au bwawa?

Ziwa au bwawa?

mikedean

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
3,271
Reaction score
4,654
Hili nasikia liko mbeya kijiji na wilaya sijui anaejua atuambie ila wanasema sio ziwa ngosi
FB_IMG_15727612420522903.jpeg
 
Ziwa Ngosi;
Ziwa hili ni la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ziwa lingine la kreta lililopo Ethiopia linaakisi muonekano wa bara la Afrika katika upande wa kusini, magharibi, kaskazini na mashariki pamoja na visiwa vyake vya Unguja na Pemba.

Ziwa Ngosi linapatikana kwenye milima ya Uporoto, Mkoa wa Mbeya nyanda za juu kusini mwa Tanzania , ziwa hili linatajwa kutokana na mlipuko wa volkano hivyo ni tofauti na maziwa mengine kama ziwa victoria au ziwa nyasa.
Upekee au utofauti wa ziwa hili ni kwamba ziwa hili liko juu ya milima na katikati ya misitu na lina urefu wa km2.5, upana wake ni km 1.5 , kina chake ni mita 74 na lina ukubwa wa hecta 9332.
 

Attachments

  • Lake Ngosi.jpg
    Lake Ngosi.jpg
    10.5 KB · Views: 10
Ziwa Ngosi;
Ziwa hili ni la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ziwa lingine la kreta lililopo Ethiopia linaakisi muonekano wa bara la Afrika katika upande wa kusini, magharibi, kaskazini na mashariki pamoja na visiwa vyake vya Unguja na Pemba.

Ziwa Ngosi linapatikana kwenye milima ya Uporoto, Mkoa wa Mbeya nyanda za juu kusini mwa Tanzania , ziwa hili linatajwa kutokana na mlipuko wa volkano hivyo ni tofauti na maziwa mengine kama ziwa victoria au ziwa nyasa.
Upekee au utofauti wa ziwa hili ni kwamba ziwa hili liko juu ya milima na katikati ya misitu na lina urefu wa km2.5, upana wake ni km 1.5 , kina chake ni mita 74 na lina ukubwa wa hecta 9332.
Ziwa la aina hiyo au umelinganisha na ziwa Victoria na lile tanganyika?
 
Kunà moja huenyeshwa na TBC Safari nadhani ndio hilo Ngosi ukitamka neno Tukuyu ukungu unatoka mzito na kufunika ziwa linakuwa halionekani kabisa wenyewe wanaamini ati lilifukuzwa Tukuyu ndio likaenda kukaa pale
 
Yap hiyo nishawahi kusikia
Kunà moja huenyeshwa na TBC Safari nadhani ndio hilo Ngosi ukitamka neno Tukuyu ukungu unatoka mzito na kufunika ziwa linakuwa halionekani kabisa wenyewe wanaamini ati lilifukuzwa Tukuyu ndio likaenda kukaa pale
 
Ziwa Ngosi;
Ziwa hili ni la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ziwa lingine la kreta lililopo Ethiopia linaakisi muonekano wa bara la Afrika katika upande wa kusini, magharibi, kaskazini na mashariki pamoja na visiwa vyake vya Unguja na Pemba.

Ziwa Ngosi linapatikana kwenye milima ya Uporoto, Mkoa wa Mbeya nyanda za juu kusini mwa Tanzania , ziwa hili linatajwa kutokana na mlipuko wa volkano hivyo ni tofauti na maziwa mengine kama ziwa victoria au ziwa nyasa.
Upekee au utofauti wa ziwa hili ni kwamba ziwa hili liko juu ya milima na katikati ya misitu na lina urefu wa km2.5, upana wake ni km 1.5 , kina chake ni mita 74 na lina ukubwa wa hecta 9332.
Lipo Wilaya ya Rungwe na kuna majogoo ndani ya ziwa yanawika!
 
Back
Top Bottom