Zitto Zuberi Kabwe: Uteuzi wa Mama Salma Kikwete ni kama teuzi nyingine, ana haki kikatiba

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Hapa ndipo unapoona tofauti kati ya siasa za Mwanasiasa na siasa za Wale wanaodhani kazi yao ni kupinga kila kitu. Nakupongeza Zitto kwa hili.
2017-03-03 10.05.24.png
 
kuna watu nilikua nawaeleza kuhusu hili lakini waliniona ni ile ile? Mama Salma ni mtanzania anayo haki kama ilivyosemwa
 
Back
Top Bottom