Zitto Z. Kabwe,tafuta mshauri!

Status
Not open for further replies.
Zitto Kabwe bado ni kijana, he is energetic, powerful and well educated, tatizo lake anapotezwa na washauri alionao.
Kutoka mwisho wa reli haisaidii katika dunia ya leo. Hata Dar wapo wajanja kama wale wa mwisho wa reli.

Zitto bado ana nafasi ya kujijenga kisiasa kama atakaa chini na kujipima, akaacha kutumika kwa maslahi binafsi
 

Mkuu hapa umepotoka kidogo, huyu jamaa ZZK hasameheki, ukimsamehe tu kwake ni ushindi yaani umeshindwa na atakuja na PLAN B na atakucheka hadharani, nikuachana naye kabisa tusonge mbele bila yeye, INAWEZEKANA KABISA CDM BILA ZZK!
 

Zitto ana umuhimu sana sasa , especially akijiunga CCM, maana atakuwa na vyombo vya dola kumsaidia JK kuisafisha nchi na mafisadi. Akiwa CHADEMA ni ngumu sana, maana mafisadi wanaweza hata kumlipua...si unakumbuka alivyo pata taabu kwenye sakata la Buzwagi? Mi nitafurahi sana Zitto akienda CCM kwa manufaa ya nchi yetu, lakini nitachukia sana kama CHADEMA watashindwa KUMFUKUZA uanachama. CDM tusaidieni kumfukuza Zitto ili tumchukue huku , aungane na Professor Muhongo katika kuendeleza sekta ya madini na nishati......
 

so u think by going to the media they were stewngthnin chadema??
 
Chadema nao ni goigoi.
Tuhuma za Zitto kushirikiana na kina Mwigulu Nchemba kuuihujumu Chadema zipo wazi kabisa.
Sasa wanampa siku 14 za nini ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…