Hi wana jf! Poleni na shughuli za kila siku, nimejaribu kuwaza na kupima nikaja kugundua kuwa nchi yetu imekuwa ikikabiliwa na vita vya maneno na majungu na ni hatari kubwa inayotukabili, nasema hvyo kwa utafiti wangu binafsi juu ya swala la kisiasa nchini hasa hasa miji mikubwa iliyopo chini ya Chadema na CCM, kumekuwa na mvutano mkubwa sana wa maneno ,majungu na mvutano wa kukomoana na hisia za kusema bwana fulani anasaidia kwa ajili ya chama fulani,mathara ya haya yote ni mipango mingi kushndkana kufanyika na kupelekea kuwa kwenye makaratasi. Mfano unamkuta kiongozi ama mfanyakazi wa serikali amekuwa commited kujishughulisha ktk nafasi yake lakini majungu na maneno yataibuliwa na either of the political party juu yake, hili litampelekea huyu mtu kukata tamaa na hata kurudisha juma maendeleo(hii ni vita zaidi ya hata ya silaha kwani huwezi kukimbia wala kupata msaada nchi za nje). Pia ndani ya vyema hvi vinatokea na mathara yake ni makubwa sana ktk jamii. Naomba tufanye reference ktk mji wa Mwanza na Arusha kwani hvi vita vilishaanza! My take, katika utendaji kazi lazima tusahau itikadi za kisiasa,majungu,maneno kwani yatarudisha sana maendeleo nyuma! DISCLAIMER, haya ni mawazo binafsi na muwe huru kuboresha na kuweka vizuri na itumeke hapa hapa Jf! Karibuni.