Mbunge wa kigoma Mh zitto zuberi kabwe ambaye pia ni kiongozi wa ACT wazalendo amesema kwamba wameamua kumuweka pembeni mwenyekiti wao wa zamani Mama Anna Mgirwa ili kutoa dhana kwamba ACT ni CCM B Akihojiwa na mwandishi wa habari amesema hayo
"Sasa tunaweka kanuni ambazo mtu akichaguliwa na uongozi wa juu unaoongozwa na Chama kingine tofauti na ACT basi tufanye kwanza mazungumzo kabla ya mtu kukubali tu bila kutoa taarifa" alisema Mh Zitto Kabwe.
Pia akaongeza kwa kusema kwamba Kwa sasa wameshachagua kaimu mwenyekiti wao wa Chama na anaendelea na majukumu kama kawaida.
Kweli mkuu atagombea uraisndio maana me na chadema yangu tu.maana kipindi zito anaenguliwa M4C. watu walimlaumu mbowe kumbe zito ccm b.leo imeonekana na ninavyojua ubunge atakosa safari hii
Lakini Mh Rais baada ya kumuapisha alisema msimamo wake wa kuto kushirikisha wapinzani upo pale pale.Mbunge wa kigoma Mh zitto zuberi kabwe ambaye pia ni kiongozi wa ACT wazalendo amesema kwamba wameamua kumuweka pembeni mwenyekiti wao wa zamani Mama Anna Mgirwa ili kutoa dhana kwamba ACT ni CCM B Akihojiwa na mwandishi wa habari amesema hayo
"Sasa tunaweka kanuni ambazo mtu akichaguliwa na uongozi wa juu unaoongozwa na Chama kingine tofauti na ACT basi tufanye kwanza mazungumzo kabla ya mtu kukubali tu bila kutoa taarifa" alisema Mh Zitto Kabwe.
Pia akaongeza kwa kusema kwamba Kwa sasa wameshachagua kaimu mwenyekiti wao wa Chama na anaendelea na majukumu kama kawaida.
Mbunge wa kigoma Mh zitto zuberi kabwe ambaye pia ni kiongozi wa ACT wazalendo amesema kwamba wameamua kumuweka pembeni mwenyekiti wao wa zamani Mama Anna Mgirwa ili kutoa dhana kwamba ACT ni CCM B Akihojiwa na mwandishi wa habari amesema hayo
"Sasa tunaweka kanuni ambazo mtu akichaguliwa na uongozi wa juu unaoongozwa na Chama kingine tofauti na ACT basi tufanye kwanza mazungumzo kabla ya mtu kukubali tu bila kutoa taarifa" alisema Mh Zitto Kabwe.
Pia akaongeza kwa kusema kwamba Kwa sasa wameshachagua kaimu mwenyekiti wao wa Chama na anaendelea na majukumu kama kawaida.
Na Mh Rais alisema kabisa hataki upinzani ufe, hawezi kuteua mtu toka CHADEMA. Hivyo kwa ACT sio wapinzaniHicho anachosema hakisaidii, swali ni kuwa Tanzania kuna vyama vingi vya upinzani kwa nini Magufuli arudi mara mbili kuchukua wateule wake kwenye chama kimoja tu cha upinzani?Kwa hiyo hilo ni tawi la CCM.
Source
Hizi teuzi za Raisi ndani ya Act, hazileti afya kwenye siasa za upinzani Nchi hii.sanasana Magu anazidi kujiwekea wigo wakisiasa.karata anazo Changa sasa Zitachezwa 2020. Kumbuka ndani ya ccm kuna panga lilipita kuna waliofyekwa kwakufukuzwa, uwanachama, kuna wakutumbuliwa vyeo,kuna Idadi kubwa yawajumbe wamepunguzwa kwenye vikao vya maamzi.kundi hili rote linamnyima usingizi.hesabu zake ameanza na Act maana likiangukia huko hatopata zogo lakuakata ngebe, mbele ya wapiga kura walio kata tamaa.kwa upande wa Chadema anajua wataenda wa chache kwa sababu kwanza karibu nafasi zaungozi zimejaa, rakini pia siasa zamapambano wengi hawaziwezi. Tusishangilie sana adui yuko macho, hakuna mwaka ulio kua wabahati kwa upinzani kama 2015. Watu wakiendelea kushikana uchawi utashangaa 2020 hii hapa Mtungi anaweka mpila kati,kadi zote 2, yellow na Red, anazichana Siku y afainal, muamzi anakaa nje ya uwanja, anasubilia dk90 kuona Mshindi bila kujali fujo na faulo zilizo tokea uwanjani.ZZK amejieleza vizuri kama kiongozi wa chama. Nnachokiona kwa baadhi ya wachangiaji kama wana chuki na ZZK.
Nafasi ya Anna Mghwira ikimtokea yoyote yule kukataa si rahisi ,we ukatae uteuzi wa Rais thubutu. Ila kwa hili nampongeza JPM ameonesha kuamini watu wa kariba tofauti ya chama chake. Hivyo hata mbele ya safari akija Rais mwngne anaweza akapitia mlango huo huo kuchukua watu imara kufanya nao kazi kutoka chama chochote maadam wanafaa maana maendeleo hayana chama ni yetu sote wananchi.
Tuitangaze tu rasmi kwamba hii ni nchi ya wanafiki au unasemaje msnajo?ZZK saa yoyote atateuliwa kwenye nafasi za uongozi! Mzee anaendelea kummulika kama alivyowamulika Kitila na Anna Mgwira!! ACT itabaki inaning'inia kama tambara, na wanachama wake sio wataenda wapi maana watabaki wakiwa kwa sababu familia haina baba wala mama! Too sad..... Chezea kila kitu lakini sio "pesa" aisee. Hata mimi kwa hali ya sasa, nikiitwa napokea cheo na unafiki wangu, maana hakuna namna tena!!
Chama gani, chama hata kura laki moja hakikufikia! Janja tu kumuondoa ni gheresha, hawa ni wasaliti wa nguvu za mabadiliko.Mbunge wa kigoma Mh zitto zuberi kabwe ambaye pia ni kiongozi wa ACT wazalendo amesema kwamba wameamua kumuweka pembeni mwenyekiti wao wa zamani Mama Anna Mgirwa ili kutoa dhana kwamba ACT ni CCM B Akihojiwa na mwandishi wa habari amesema hayo
"Sasa tunaweka kanuni ambazo mtu akichaguliwa na uongozi wa juu unaoongozwa na Chama kingine tofauti na ACT basi tufanye kwanza mazungumzo kabla ya mtu kukubali tu bila kutoa taarifa" alisema Mh Zitto Kabwe.
Pia akaongeza kwa kusema kwamba Kwa sasa wameshachagua kaimu mwenyekiti wao wa Chama na anaendelea na majukumu kama kawaida.
Na yeye amepinga kwamba wao ni ccmB
Kama chama kilimuamini mtu anayeweza kununulika kirahisi hivi,hata bada ya kumtoa, tutajuaje kwamba chama si CCM B?
Hapo ndiyo kutokuelewa kwenu kunapojitokeza. Hivi Lowasa na Sumaye wametoka lini CCM na kuja CDM? Kama issue ni vyama na si watu basi ninawasiwasi na fikra zenu baadhi ya watu maana vyama ni watu na hao watu ulionao huko ndiyo waliozesha chama cha Mapinduzi. Vinginevyo mnasukjmwa na ukanila wenu na ukanda tuuuuu. CCM ni chama safi kuliko chochote kwa sasa.ndio maana me na chadema yangu tu.maana kipindi zito anaenguliwa M4C. watu walimlaumu mbowe kumbe zito ccm b.leo imeonekana na ninavyojua ubunge atakosa safari hii
Wapi nimejua CHADEMA siyo CCM C?Kama mlivyojua kuwa CHADEMA siyo CCM C baada ya kupokea masazo ya CCM A na kuyafanya bidhaa adimu na ghali zaidi kwenu.Kwa nini wakifanya wengine kwa manufaa ya wote mnshangaa mkifanya ninyi kwa manufaa yenu mnaona sawa?