Zitto ruksa kukata rufaa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
kazi kwenu kijana wa kigoma anakula bata nyie mnakesha angani kumshambulia. Suluhu siyo kumfukuza ila ni kujitathimi nyie mnaojiita wasafi ndani ya chama na myaone mapungufu yenu
 
Deni la Taifa la Tanzania limefikia au litafikia 25Trillioni mwaka 2014...
Hebu tuachane na kina Zitto na CHADEMA tuanze ongelea kuhusu hilo deni lilipatikana vipi maaan siku ya mwisho sisi ndo tutakuwa wadaiwa

Hatuwezi kujua na wala hatuwezi kubadirisha kitu, kwa sasa tunakazi moja tu, kuiunga mkono operation M4C-SIJUI NINI NINI DAIMA na kumuomba Mwenyezi Mungu iwafikie wananchi kwa wingi na ikapeleke mabadiriko ya kifikra kwa watanzania ili inshallah kama tunavyotegemea mwaka 2015 tuwaondoe hawa matapeli madarakani.
 
Deni la Taifa la Tanzania limefikia au litafikia 25Trillioni mwaka 2014...
Hebu tuachane na kina Zitto na CHADEMA tuanze ongelea kuhusu hilo deni lilipatikana vipi maaan siku ya mwisho sisi ndo tutakuwa wadaiwa

Nimetafuta like siioni nikugongee basi acha nikupe ya kuchonga.
 
Hivi vitu vinahusiana sana, Zitto alikuwa anapigania matumizi mazuri ya ruzuku za vyama, ambayo kimsingi yanahusiana sana na hili deni la taifa.

mhhhhhhh kivipi? Kaa uchi tukuelewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…