Mkuu, mke wa Deo hanihusu hata kidogo ila nasikitishwa kwa Zitto kuchapa mke wa rafiki yake ambaye ni marehemu. Hii inaonyesha kuwa alikuwa anamtamani toka marehemu yu hai.
Kwa kaulo yake hii ili watu wajue yeye ni nomaaa angetusaidia kumpata Dewji na sip blabla zake za kujidai kuwa bwawaa... unajua wachawi huwa waongo sana kujitutumua kumbe sometimes hawana loloteee mbwembwe tyuuπππ