Zitto Kabwe Na Ajenda Yake Moja

JIMBONI KWAKE KAJENGA SHULE NGAPI?MAJI,VITUO VYA AFYA N.K naomba Mwandishi wa Zitto aende jimbo la MKONO au kwa LUKUVI ISMANI-IRINGA.

usimfananishe Zito na kina Mkono, wana pesa wale hawategemei serikali wanajenga kwa pesa zao mfukoni.
 


Kazi ya mbunge nikusukuma sheria za kutetea na kuwapa wanachi zitungwe au zifanya kazi
kufuatilia utekelezaji wa fedha za maendeleo ya halmashauri yake kama zinawekezwa kwenye miradi inayotarajiwa kama hayo hayafanyi utueleze.
Mramba shule alizojenga kwa hela ya mifuko ya misaada ya wizara ya fedha ndio zilizomfikisha awe na mgogoro kisheria we hujui hata KIKwete alikataa kata kata kufungua hiyo shule ya ghorofa alimuandalia chakula kwenye kasima yake kubwa kuliko Ikulu Dar es Salaam akakataa kula nadhani alikuwa mjinga alijua ni fisadi tuu

Mkono anatuhumiwa kwa kujinufaisha na fedha za malipo ya kusimamia mikataba ya kampuni ya ukaguzi na fedha za EPA amelipwa mabilioni ya fedha hata benk aliyoanzisha sijui kama inafanya kazi ni fisadi lakini hawawezi kumbana anajua siri ya mafisadi wa nchi hii kuliko mtanzania yeyote


mwache zitto atekeleze majukumu yake ya uzalendo
wapinzani wamepambana na mengi haya minayoyatengeneza kwenye mitandao kwao sawa na chai kwa sbabu wananchi wanajua ukweli
Nawewe kama blogger tuuleze umeifanyia nini nchi yako au upo hapa kubwabwaja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…