Zitto Kabwe Kubali Ado Shaibu Alikua Dhaifu, Kusema Hutasahau Kilichotokokea Dodoma Sio Sawa

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,200
27,255
Nimeona maonj ya zitto bado yana maumivu ndanj yake kwa kushindwa mgombea wao wa ACT kwenye bunge la afrika mashariki.

Zitto anasema wataendelea na maridhiano ila hawatasahau kilichotokea Dodoma. Hii maana yake ameumizwa na kushindwa kwa Ado Shaibu.

Zitto anapaswa kujua na kukiri pia mgombea wao alikuwa dhaifu. Maridhiano tafsiri yake sio kuwa upigiwe kura kwa mgombea unayemtaka wewe.

Maridhiano maana yake demokrasia kwenye kuchagua itumike. Na kura zimepigwa ,mgombea wako kashindwa, Sasa hapo maridhiano yanaingiaje? Hakuna sehemu raisi mama Samia alisema maridhiano ni nyie mshinde.

Ado Shaibu Alikua mgombea dhaifu sana, hawezi kabisa kujieleza, hawezi kujibu maswali kila anachoulizwa hasikii mpaka irudiwe na hata iliporudiwa bado hakuelewa mpaka spika alipotoa ufafanuzi. Pamoja na spika kutoa ufafanuzi bado Ado hakuelewa. Kwa nn msikubali huyu mliyempeleka HAFAI?

Screenshot_20220925-133503_1.jpg
 
Naunga mkono

Upinzani umekufa ndio sababu wanabembeleza Maridhiano na CCM
Upinzani haujafa ila ule fake kama wa ZZK. Siku za ACT zinahesabika. Aidha ZZK aporwe chama au Wapemba waondoke.

ZZK kapigwa kitu kizito hatakaa asahau. Na bado hiyo ni vuli tu...masika yenyewe ataipata 2025
 
Upinzani haujafa ila ule fake kama wa ZZK. Siku za ACT zinahesabika. Aidha ZZK aporwe chama au Wapemba waondoke.

ZZK kapigwa kitu kizito hatakaa asahau. Na bado hiyo ni vuli tu...masika yenyewe ataipata 2025
Mwakani Freeman Mbowe anastaafu

2024 Zitto Kabwe anatimuliwa ACT wazalendo

Hakuna upinzani tena

Lowassa na Membe ndio wameturudisha kwenye Mfumo wa Chama kimoja
 
Nimeona maonj ya zitto bado yana maumivu ndanj yake kwa kushindwa mgombea wao wa ACT kwenye bunge la afrika mashariki.

Zitto anasema wataendelea na maridhiano ila hawatasahau kilichotokea Dodoma. Hii maana yake ameumizwa na kushindwa kwa Ado Shaibu.

Zitto anapaswa kujua na kukiri pia mgombea wao alikuwa dhaifu. Maridhiano tafsiri yake sio kuwa upigiwe kura kwa mgombea unayemtaka wewe.

Maridhiano maana yake demokrasia kwenye kuchagua itumike. Na kura zimepigwa ,mgombea wako kashindwa, Sasa hapo maridhiano yanaingiaje? Hakuna sehemu raisi mama Samia alisema maridhiano ni nyie mshinde.

Ado Shaibu Alikua mgombea dhaifu sana, hawezi kabisa kujieleza, hawezi kujibu maswali kila anachoulizwa hasikii mpaka irudiwe na hata iliporudiwa bado hakuelewa mpaka spika alipotoa ufafanuzi. Pamoja na spika kutoa ufafanuzi bado Ado hakuelewa. Kwa nn msikubali huyu mliyempeleka HAFAI?

View attachment 2367602
Zitto ni Utopolo kichwani sasa hivi haongei kisa anapata bahassha na ruzuku inaingia, Addo Shaibu ni zoba sana, English yenyewe yuko poor hadi aibu, daah aibu sana yaani wangese kama akina Addo ndio watuwakilishe EALA ni upuuzi, japo pia pale kwenye watu 9 waliopata vilaza wengi kama watano 5 nao vilaza tu, aibu kila mara kubadilisha wabunge continuity na institution memory inapotea na tutakuwa wa kuanza upya kila wakati aibu sana
 
Nadhani zitto ametumiwa meseji clear kwamba ndani ya znz hana chake cha kuuma na kupuliza.

Wazanzibar bado wana madai na matakwa yao mahsusi ambayo aliyeweza kuwatuliza ni Hayati Maalim Seif ila sio Zitto.

Itafika wakati ACT watamtoa zitto kama anavyofanyiwa Mbatia. Znz wanahitaji mamlaka kamili ya nchi yao na wote kwa pamoja hilo wanaliongea waziwazi.
 
Naunga mkono

Upinzani umekufa ndio sababu wanabembeleza Maridhiano na CCM
Na aliyeua upinzani ni nyie mboga mboga. Hamtaki wengine nao wachovye vidole vyao kwenye hilo buyu la asali japo kwa miaka mitano tu! Nyie mmekuwa mkichovya kwenye hilo buyu miaka chungu nzima, lakini bado hamjaridhika. Mnaendelea kujimilikisha hilo buyu kwa hila na ulaghai mwingi.
 
Halafu kama huyo mgombea wake alikua kalishwa majibu.

Maana katika hali ya kawaida mtu huwezi kuwa na straight answers namna ile.

Ndio maana nyepesi haamini kilichomkuta.

Kwamba hata baada ya kumezeshwa majibu bado mgombea wake akala za uso.
 
Halafu kama huyo mgombea wake alikua kalishwa majibu.

Maana katika hali ya kawaida mtu huwezi kuwa na straight answers namna ile.

Ndio maana nyepesi haamini kilichomkuta.

Kwamba hata baada ya kumezeshwa majibu bado mgombea wake akala za uso.
Zitto Kabwe hamuwezi Prof Lipumba kwa fitna za siasa!
 
Nadhani zitto ametumiwa meseji clear kwamba ndani ya znz hana chake cha kuuma na kupuliza.

Wazanzibar bado wana madai na matakwa yao mahsusi ambayo aliyeweza kuwatuliza ni Hayati Maalim Seif ila sio Zitto.

Itafika wakati ACT watamtoa zitto kama anavyofanyiwa Mbatia. Znz wanahitaji mamlaka kamili ya nchi yao na wote kwa pamoja hilo wanaliongea waziwazi.
Atoke tu hata kesho
 
Halafu kama huyo mgombea wake alikua kalishwa majibu.

Maana katika hali ya kawaida mtu huwezi kuwa na straight answers namna ile.

Ndio maana nyepesi haamini kilichomkuta.

Kwamba hata baada ya kumezeshwa majibu bado mgombea wake akala za uso.
Ni kweli ndio maana maswali yote alikuwa anajifanya hasikii vizuri, kumbe alitegemea asiulizwe maswali
 
Back
Top Bottom