Zitto Kabwe: Fedha za Marekani ni porojo, Bajeti ya mwaka huu hakuna hata senti ya kutoka Marekani

BAKOI

JF-Expert Member
Jan 31, 2016
1,213
2,326
Capturesd.PNG


Fedha za Marekani? Ni porojo tu.

Kila senti ambayo nchi inapata huingizwa kwenye kitabu hiki ambacho kila mbunge hupewa. Ni Revenue Book Vol 1.

Katika Bajeti ya mwaka huu hakuna hata senti ya kutoka Marekani. Rais na Balozi wa Marekani wamedanganyana tu au Wamarekani wataweka fedha zao kupitia makampuni Yao ya Kimarekani.

Bunge ndio lenye mamlaka ya juu kupitisha mapato na matumizi ya Serikali. Hizo hela za Marekani ambazo watu wanazishangilia ni HEWA. Ni POROJO.

By zitto kabwe facebook
 
labda Kitabu cha ACT
Ni wakati wa mbowe kuitafakari kauli yake ya kubadili gia angani kama ina nafasi kwenye ilimwengu wa sasa wenye maana ya kidemokrasia. Gia ya Mbowe ilibadilishwa angani wakati wa harakati za kimpata mgombea urais ndani ya CHADEMA na sasa madhara yake hayafichiki. Mbowe, Mbowe, Mbowe hakika usaliti wa chama utakugharimu maishani.
Eti kitabu wanapewa wabunge liongo hili kwanza halipo bungeni halafu linasema litapewa bungeni.
 
Back
Top Bottom