Hili liko wazi sana, alivyosimama Chenge nilimuona at that time alipewa muda wa kuongea Wenje then baadae akaja Chenge akaongea aliyoyaongea ngoma ikasapotiwa kiCCM then zitto akamaliza short n'clear.
Kuanzia mwanzo wabunge wa CCM walikuwa wanakataa katibu mkuu kujiuzulu ili mambo mengine yaendelee sasa alichoongea Chenge na kikakubalika kiCCM ndiyo hichohicho kingeendelea kwa Sos, Werema na Pinda.
Zitto akaona huu ni ujinga kumbe waizi wanateteana mpaka bungeni, wacha wateteane