Zitto Kabwe alimaanisha hivi..

hongera zitto kwa kucheza ka pelle,technical goal ndo uliwafunga sendeka akautoa mpira nje ya goli ndipo ubishani ulipoanzia wapinzani na wasiopenda wizi wanalinda goli ccm mnakataa,hongereni sana kwa msimamo wa pamoja
 
Hatua ile Zitto alikuwa amechoka......karibia siku kadhaa bila usingizi ukitumia akili kwa kiwango kile na bunge kuendeshwa kwa muda mrefu namna ile lazima akili ifike mwisho......otherwise amefanya kazi nzuri mno.......
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada nakubaliana na wewe kwani kuna mbunge alisema kuwa kwa kuwa kila mtuhumiwa wanasema mamlaka yake ya uteuzi ndo itamwajibisha,
na bunge linaweza kumwajibisha rais na waziri mkuu ndipo mafuriko yangemkuta pinda japo sendeka alishtuka.
 
Du game ilikuwa tough sana, nilipata wasiwasi kuona eti mtuhumiwa anatoa formulation ya adhabu kwa watuhumiwa wenzie. Mhe Mbowe kaokoa penalt dk za nyongeza kidogo nyavu zingetikisika.
 
Nakubaliana na wengi humu. ZZK alichoka kiakili. Kumbuka alikua amekesha akilinda ripoti yake kabla ya kuiwasilisha bungeni. Mjadala nao uliendeshwa kwa muda mrefu, kwa hali ile lazima angechoka tumsamehe tu kwa kuwa ni mpiganaji.
 
Hatua ile Zitto alikuwa amechoka......karibia siku kadhaa bila usingizi ukitumia akili kwa kiwango kile na bunge kuendeshwa kwa muda mrefu namna ile lazima akili ifike mwisho......otherwise amefanya kazi nzuri mno.......


Humu ndani kuna watu wana chuki na Zitto, mtu akikuchukia huwa anakutafutia sababu akunange. Ndio kilichotokea jana.

it was merely a blip, lakini kuna waheshimiwa humu wanataka kutengeneza mlima kutoka kwenye kichuguu.

Hate is a very powerful thing.
 
Last edited by a moderator:

Hakika jana mbowe aliokoa jahazi na mwanawe Zitto
 
Last edited by a moderator:

Hakupaswa kukata tamaa mh Zito angekaza km mh mbowe mpaka kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…