Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 963
- 2,198
Siku za hivi karibuni watu wengi hasa wenye mlengo unaokinzani na serikali katika mambo mengi wametokea kumpuuza sana Zitto Kabwe
Yess, wana haki hiyo kwasababu ya alivyofahamika na alivyo kwa sasa
Hata hivyo, haimaanishi kwamba kila siku anaongea pumba!
Nimekutana na clip yake moja akiionya CCM na mwenyekiti wake kujenga mazingira ya kuvifanya vyombo vya dola kuanza kupambana na vyama vya upinzani badala ya CCM kupambana na vyama vya upinzani
Ukiangalia kwa siku za hivi karibuni utagundua anachoongea ni sahihi kabisa. Vyombo vya dola hasa polisi viko busy kujibishana na wanasiasa wa upinzani na wanaharakati kuliko CCM! Hii ni mbaya sana kwani mpaka wanafanya hivyo maana yake kuna namna wanakula na CCM na ipo siku watatamani wasiendelee kugawana na CCM badala yake wale peke yao hasa wakishagundua kuwa CCM hawawezi kujibu hoja za upinzani bila wao
Kwa mujibu wa Mwami Ruyagwa, wakishanogewa wataanza kushughulika na CCM
Hii ndo ile watu husema kuna wakati saa mbovu inasema ukweli
Yess, wana haki hiyo kwasababu ya alivyofahamika na alivyo kwa sasa
Hata hivyo, haimaanishi kwamba kila siku anaongea pumba!
Nimekutana na clip yake moja akiionya CCM na mwenyekiti wake kujenga mazingira ya kuvifanya vyombo vya dola kuanza kupambana na vyama vya upinzani badala ya CCM kupambana na vyama vya upinzani
Ukiangalia kwa siku za hivi karibuni utagundua anachoongea ni sahihi kabisa. Vyombo vya dola hasa polisi viko busy kujibishana na wanasiasa wa upinzani na wanaharakati kuliko CCM! Hii ni mbaya sana kwani mpaka wanafanya hivyo maana yake kuna namna wanakula na CCM na ipo siku watatamani wasiendelee kugawana na CCM badala yake wale peke yao hasa wakishagundua kuwa CCM hawawezi kujibu hoja za upinzani bila wao
Kwa mujibu wa Mwami Ruyagwa, wakishanogewa wataanza kushughulika na CCM
Hii ndo ile watu husema kuna wakati saa mbovu inasema ukweli