Zitto & Co Msiogope!

FaizaFoxy, mtu mwungwana huwa anakubali ukweli hata kama haukidhi matashi yake.

Naomba usome taarifa vizuri, uone kwenye Tsh account kulikuwa na shs ngapi, kwenye dollar account zilikuwemo dollar ngapi, na interest ililkuwa ngapi. Utafaamu ni kwa nini CAG, amejumuisha zikafika huko.

Unaelewa kwamba kila kazi ina terms of reference? Nenda ukajiliridhishe terms of references alizopewe CAG, na terms of references walizopewa kamati ya zito. Utagundua ni kwa nini siyo contents tu bali hat format za reports zinatofautiana. Lakini kamati ya ZITO, imefanyia kazi taarifa ya CAG, ikaja na hayo yaliyosomwa jana

Swali kwako tena. Unaonaje uchukuaji wa fedha kutoka escrow wa singasinga ulifuata taratibu? Manunuzi yake ya IPTL yana legitimacy? Unatofautishaje wizi na obtainance of money by false pretenses au cheating? Fraudulent actions lina tafsiri gani labda kwako?

Ulitaka CAG, aseme nini zaidi labda?


 
Kula uliwe - Jakaya Mrisho Kikwete

Kuliwa ni haki yangu ya msingi, vipi na wewe unaliwa?

nafikiri nafsi zenu zinawasumbua kwa kutetea wizi ambao mnajua ulifanyika. Lakini kwasababu ni msimamo wa chama chenu kutetea wezi hana namna. Lakini hili mnalo lifanya mnarahisisha wizi mkubwa zaidi kuendelea kutokea ndani ya taifa hili.CCM MUWE NA HURUMA NA WANANCHI WENU HATA KAMA TAYARI MMESHA WAONA NI WAJINGA WASIO JUA CHOCHOTE,
 
Hakuna lolote wamedanganya hao na hoja zao hazina mshiko, zimepanguliwa zote.

Hamna hoja HATA MOJA iliyopanguliwa. Bring Back National Money. Tusione aibu pesa tulizoiba, mahsusi labda kwa 2015 kampeni. EPA ilikuwa ni kuelekea general election. Naamini deal hili kwa kuwa limestukiwa, sjui deal lingine litakuwa sehemu gani? Au bomba la gesi au nini? Yetu macho!
 
Hakuna lolote wamedanganya hao na hoja zao hazina mshiko, zimepanguliwa zote.
kwa hiyo CAG naye kadanganya? Je nao ule mgao uliofanywa na mafisadi papa ukiongozwa na chenge pale mkombozi benki ni uwongo? Duh..
 
Usuogope zitto kamanda u were born for this
 

Siku ya dhiki hata wapiga debe, mabodaboda, wamachinga, wanyoaji, n.k., watamrudia Yehova na kuacha lugha yao isiyo na staha?
 
Haba nyimbo acheni chuki hana uwezo atueleze na yeye ni mshirika ktk hilo....na ushshidi uko mezani.
 
Ni aibu, ni fedheha, ni laana kwamba fedha hii ilitolewa kwa maelekezo ya mkuu wa nchi; kisha baada ya kutoka ikawa ni fujo nani achukue nini! ........ hiii laana lazima itutafune!
 
Ehh Mungu naomba uache kusikiliza salsa, maombi na dua za wezi, wanajilimbikizia wachache na kutukosesha wengi huduma muhimu na za msingi
 
kwa hiyo CAG naye kadanganya? Je nao ule mgao uliofanywa na mafisadi papa ukiongozwa na chenge pale mkombozi benki ni uwongo? Duh..

Hakuna mahala katka ripoti ya CAG palipoonesha kuwa kuna wizi au rushwa. Kama umepaona wewe nioneshe.

Nasubiri, na nnakuhakikishia hauo paona, mimi nimeisoma ripoti yote ya CAG. Aliyedanganya ni Zitto.
 
Hapa, fatilia post zangu.Kuwa CCM ni kosa? mbona Slaa mpaka leo ni mwanachama wa CCM?
Slaa siyo mwanachama wa Ccm kwa mujibu wa sheria, bali anamiliki kadi ya CCM kama kumbukumbu ya mtanzania pekee aliyewahi kuwa PADRE wa Katoliki na wakati huohuo akiwa ni KATIBU wa CCM tawi la ROME mnamo 1980 hadi 1982 kazi hiyo sasa inafanywa na schoolmate wake MoFA!! anyway ni kweli kuwa ccm siyo dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…