GE2025 Zitto: Chagueni vijana mahiri wakaitetee Kigoma bungeni

GE2025 Zitto: Chagueni vijana mahiri wakaitetee Kigoma bungeni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema mkoa wa kigoma umekuwa nyuma katika shuguli za maendeleo na hata kutetewa kwa wananchi wa mkoa huo kutokana na kukosa viongozi sahihi wa kuongoza mkoa huo.

Kauli hiyo ameitoa, Oktoba 13, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma alipokuwa akinadi mgombea ubunge wa chama hicho katika jimbo hilo, Julius Masabo

"kote huko nilikopita wanasema wanachagua wabunge wa ACT Wazalendo hawataki wabunge wa CCM...huu uchaguzi ni kupeleka vijana wa Kigoma mahiri ambao watasimama na kuitetea Kigoma kuzungumzia haki zenu" amesema Zitto.

Soma pia: Watu wa Kigoma niwaelewa sidhani kama watachagua huyu comedian wa CCM na kumuacha Zitto Kabwe

 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom