Tangazo lake hili limo pia kwenye gazeti la Mwananchi. Hata Ubunge wetu kwa mtu maarufu kama Zitto anahitaji mapesa mengi kiasi hiki!? Kile kiinua mgongo kisingetosha? Zile posho zote za ile tume ya madini, za vikao vya kamati yake ya mashirika ya UMMA, za vikao vya kawaida vya Bunge,.....Zitto, bado unatamani kuwachangisha watu masikini kabisa wa Nchi hii? Aibu.