True walahiAtaachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata?
Kigoma umasikini ni zaidi ya asilimia 40 but still mtu anataka kuifananisha Kigoma na Dar es Salaam ambayo umasikini ni chini ya asilimia 5%?
Fanyeni kazi achaneni na wanafiki. Mpango mzima ni Hapa kazi tu! Ukizipata utajua namna utakavyozitumia.
No gains without pains!!
Kwa kweli maana ana asili ya mkosi wa hali ya juuhuyu jamaa akifungwa jela tanzania itapata maendeleoo
Ni mkoa gani ni tajili Tanzania? Tufafanulie na utajili wake.Ataachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata?
Kigoma umasikini ni zaidi ya asilimia 40 but still mtu anataka kuifananisha Kigoma na Dar es Salaam ambayo umasikini ni chini ya asilimia 5%?
Fanyeni kazi achaneni na wanafiki. Mpango mzima ni Hapa kazi tu! Ukizipata utajua namna utakavyozitumia.
No gains without pains!!
Kama mnanunuwa korosho inakuwaje muanze kudhulumu korosho za watu?Eti "wafanyabiashara wa korosho waipeleke serikali mahakama", kwa cause of action ipi? Je serikali imefanya kosa gani dhidi yao? Ni upuuzi kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia hoja za kitoto kama hizi. Serikali ina wajibu wa kikatiba wa kulinda masilahi ya wananchi muda wote ndiyo maana iliamua kuingilia suala la kununua korosho za wananchi wake. Hii ni kutokana na wafanyabiashara kutaka kuwanyonya wananchi kwa kununua kwa bei ya chini.
Wanasiasa wa aina hii hawana ajenda tena. Ajenda ya kupiga vita ya ufisadi iliwafia baada ya wao wenyewe kuwa sehemu ya mafisadi.Rejea the NSSF episode. Kama huna hoja kaa kimya.
Zitto ana uchungu na shamba lake, si unajua yeye ni politimaslahiEti "wafanyabiashara wa korosho waipeleke serikali mahakama", kwa cause of action ipi? Je serikali imefanya kosa gani dhidi yao? Ni upuuzi kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia hoja za kitoto kama hizi. Serikali ina wajibu wa kikatiba wa kulinda masilahi ya wananchi muda wote ndiyo maana iliamua kuingilia suala la kununua korosho za wananchi wake. Hii ni kutokana na wafanyabiashara kutaka kuwanyonya wananchi kwa kununua kwa bei ya chini.
Wanasiasa wa aina hii hawana ajenda tena. Ajenda ya kupiga vita ya ufisadi iliwafia baada ya wao wenyewe kuwa sehemu ya mafisadi.Rejea the NSSF episode. Kama huna hoja kaa kimya.
Umaskini wao kigoma ni wa kimaamuzi yaani kuchagua wawakikishi fake kama zzk,Nani kasababisha mkoa wa kigoma uwe masikini ni ZZK ?
Waulizeni na wauza nyanya wawaoneshe mashamba, hii ni dunia ya kibepari acheni ushamba wenu.Zito na yeye si alikuwa kangomba!!! aliunganishwa na jamaa yake bwege sasa wametaitiwa waonyeshe mashamba wanaanza swaga zisizo na msingi
Musiba ,ngoja ukome.haupati hata utendaji wa kijiji,wew endelea kujipendekeza kwa rais.Ataachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata?
Kigoma umasikini ni zaidi ya asilimia 40 but still mtu anataka kuifananisha Kigoma na Dar es Salaam ambayo umasikini ni chini ya asilimia 5%?
Fanyeni kazi achaneni na wanafiki. Mpango mzima ni Hapa kazi tu! Ukizipata utajua namna utakavyozitumia.
No gains without pains!!
Wew jamaa unaakil sana tena ungempa za uso hasa huyo fara.Kwa hiyo Zitto ndio sababu ya umasikin wa kigoma?? Mbona unakuwa mjinga sana we jamaa.
Ataachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata
huu ugoro umechanganya na magadi??Eti "wafanyabiashara wa korosho waipeleke serikali mahakama", kwa cause of action ipi? Je serikali imefanya kosa gani dhidi yao? Ni upuuzi kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia hoja za kitoto kama hizi. Serikali ina wajibu wa kikatiba wa kulinda masilahi ya wananchi muda wote ndiyo maana iliamua kuingilia suala la kununua korosho za wananchi wake. Hii ni kutokana na wafanyabiashara kutaka kuwanyonya wananchi kwa kununua kwa bei ya chini.
Wanasiasa wa aina hii hawana ajenda tena. Ajenda ya kupiga vita ya ufisadi iliwafia baada ya wao wenyewe kuwa sehemu ya mafisadi.Rejea the NSSF episode. Kama huna hoja kaa kimya.
Eti "wafanyabiashara wa korosho waipeleke serikali mahakama", kwa cause of action ipi?
Photos can speak louder.Ataachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata?
Kigoma umasikini ni zaidi ya asilimia 40 but still mtu anataka kuifananisha Kigoma na Dar es Salaam ambayo umasikini ni chini ya asilimia 5%?
Fanyeni kazi achaneni na wanafiki. Mpango mzima ni Hapa kazi tu! Ukizipata utajua namna utakavyozitumia.
No gains without pains!!
Zitto ni bora kuliko nyie NyumbuHuyu jamaa nilishampuuza toka siku aliposaliti wenzake Chadema enzi hizo. Na mpaka leo dhambi ya usaliti inamwandama ana saliti nchi kwa sasa. Huyu jamaa bwege sanaa
Ndio !Nani kasababisha mkoa wa kigoma uwe masikini ni ZZK ?