Nashindwa kuona ni jinsi gani unaweza kutoboa kupitia Chama chako cha ACT kwa sasa, labda ukachukuwe Wananchama wa CUF lkn hapo sasa inabidi utumie karata kama aliyokuwa anaitumia CUF yaani Udini, kwa maana ni ngumu sana kwa sasa Mtz wa kawaida kuwaamini Upinzani na sera zao za ufisadi kwani chadema wamewasaliti wanachama wao kwa kumchukuwa fisadi Lowasa, hivyo una kazi ngumu sana ambayo na naweza kusema ni kama haiwezekani kwako kuweza kujenga Chama chako na kuwa kikubwa hapa nchini, nafasi pekee uliyonayo ni ya Udini yaani utumie Uislamu kwamba ACT kiwe de facto Chama cha Kiislamu kinyume na hapo sioni!