Zitto ni msaliti mbaya sana asiyestahili kusamehewa na mwanamabadiliko yeyote yule,CCM wanamsajilia Chama haraka ili kuzigawa kura za Chadema nyingine ziende ACT wao washinde kirahisi,Zitto anaijua hii Move vizuri sana af anajidai anataka kuwang'oa CCM madarakani ni mnafiki mkubwa sana huyu mtu,Wanamabadiliko tuungane tumkatae na ACT yake pamoja na fedha zake za rushwa anazotumia kupamba headlines za Magazeti,Ni mtu mwenye uchu wa madaraka,mdini,mkabila,mkanda na mla rushwa mkubwa ni kirusi hatari sana kwenye nchi hii ndiyo maana wabunge wa CCM walimpigia sana makofi Bungeni baada ya kufanikisha kazi yao ya kuibomoa Chadema,Yeye mabadiliko ni pale tu atakapokuwa Mwenyekiti wa Chadema na mgombea Uraisi does it makes sense kweli?Tuunganishe nguvu kukimaliza hichi kirusi hatari kwenye mabadiliko ya nchi hii manake kilivyojijenga na mtandao wake hata ukiandika thread humu kuwaeleza watu SIDE B yake haikai.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums