Zitambue aina za akili za binadamu

Zitambue aina za akili za binadamu

cai

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
1,351
Reaction score
1,330
1. CRITICAL-MATHEMATICAL INTELLIGENCE (Wale ambao ni wazuri kwenye mahesabu-vipanga)

2 . VERBAL-LINGUISTIC INTELLIGENCE (wale wanao uwezo wa KUONGEA lugha zaidi au nyingi zaidi, kama tano )

3. KINETHETIC-BODY INTELLNGENCE (Hapa ndo unawapata akina SAMATTA na wale ambao wanaweza kucheza sarakasi kutumia akili zao kwenye mpira, akina Messi wapo hapa)

4. RYTHMICAL-MUSICAL INTELLIGENCE (hapa ndo wale washairi watunzi wa nyimbo waimbaji wazuri akina Diamond Platinumz ndo wapo hapa)

5. VISUAL SPARTIAL INTELLIGENCE (Ni wale wachambuzi wa mambo mbalimbali yanayotokea duniani.kuielezea dunia iluvyo mabo yanayotokea MBALI na mahala walipo)

6. INTERPERSONAL (hapa ni wale wanao uwezo wa kutumia psycholojia zao kuishi na wengine VIZURI bila kuleta labsha.wenye uwezo wa kuwavumilia udhaifu was wengine)

7. INTRAPESONAL INTELLIGENCE (wale ambao Wana uwezo wa KUJITAMBUA na kutambua nafsi zao kutambua wapi wanakosea)

8. NATURALISTIC INTELLIGENCE (Hapa ndo unawapata wale ambao wana uwezo wa kujua asili ya dunia watabiri na wale went uwezo wa kuona au kutumia nature/asili I'll kutatua MATATIZO yao)

Je, we uko genious kwenye kundi gani?

Kumbe kila mtu ana kuwa genious/kipanga katika eneo flani.

Unaweza usiwe kipanga kwenye hesabu LAKINI ukawa kipanga kwenye music.
 
9.BA SHIT brain---hapa unakutana na kina bia yetu,ussr ,kawe yetu and other
hii ndio high level ya intelligence wenyewe wanaiita enlightenment
images
 
Mbona me nipo Makundi yote.Darasani hesabu nilikuwa nakimbiza mpaka chuo kikuu nilikuwa mtabe.

Ukija kwenye mpira ndio usiseme, mpaka nilikuwa naitwa Thiery Henry enzi zangu. Kwenye hip-hop na kufokafoka pia nachana na kuandika verse sio za dunia hii. Sarakasi nimeruka sana,Basketball na volleyball ni mtabe mpaka leo

Lugha nayo nipo vizuri, kipindi fulani nilikuwa kiongozi nikuwa natoa speech zinawagusa watu mbaya.Nina uwezo wa kuzungumza lugha saba kwa ufasaha kiswahili(lugha mama), kisukuma, kiingereza, kifaransa, kihispaniola, kiganda na kiarabu.

Ngoja niishie hapo.
 
9.BA SHIT brain---hapa unakutana na kina bia yetu,ussr ,kawe yetu and other
hii ndio hi level ya intelligence wenyewe wanaiita enlightenment
images
😂😂😂😂
 
Ndugu gaystick... Hawa ni wale wanaosimamia kila kitu kuhusu Chama Chochote Muhimu kule dodoma
 
Back
Top Bottom