chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Kama hujiwezi basi achana na kudate na mwanamke maskini.
Ewe kijana msaka tonge kama unandoto za kuwa tajiri basi zingatia hili.
Unaweza ukajikuta unatumia laki 4 kwa matumizi yake na ndugu zake kwa mwezi ile hali ww unaingiza laki 6 kwa mwezi.....
Najua mtasema sio wote lakini sheria ya wengi hubeba wote inatumika.
Hatakama mwanamke ni mzuri kiasi gani lakini kama ni kapuku pls kaambali naye....tunapendaga kusema ntamuendeleza kwakumfungulia biashara heheee my dear brothers wengi wamelia kupitia kausemi haka....
My take: ni kwa wale tu ambao wanandoto zakumiliki mpunga mrefu.
Sorry dear ladies maisha yamebadilika
Imetolewa na MUHENGA mwenzenu
commred Chichimizi
21/08/2017
commred Chichimizi
Ewe kijana msaka tonge kama unandoto za kuwa tajiri basi zingatia hili.
Unaweza ukajikuta unatumia laki 4 kwa matumizi yake na ndugu zake kwa mwezi ile hali ww unaingiza laki 6 kwa mwezi.....
Najua mtasema sio wote lakini sheria ya wengi hubeba wote inatumika.
Hatakama mwanamke ni mzuri kiasi gani lakini kama ni kapuku pls kaambali naye....tunapendaga kusema ntamuendeleza kwakumfungulia biashara heheee my dear brothers wengi wamelia kupitia kausemi haka....
My take: ni kwa wale tu ambao wanandoto zakumiliki mpunga mrefu.
Sorry dear ladies maisha yamebadilika
Imetolewa na MUHENGA mwenzenu
commred Chichimizi
21/08/2017
commred Chichimizi