kaka wewe ndio una jipya....hebu thibitisha mbele ya great thinkers wizi wangu......halafu jifunze kufikiria kabla ya kuandika....ukiendelea kuwa na tabia hii,utapata shida kwenye maisha.
kaka wewe ndio una jipya....hebu thibitisha mbele ya great thinkers wizi wangu......halafu jifunze kufikiria kabla ya kuandika....ukiendelea kuwa na tabia hii,utapata shida kwenye maisha.
kaka samahani sana,...ila ungesema tu mbona simu yako haipatikani ingekuwa sawa zaidi....okey line yangu wkt unapiga iko kwenye modem...ngoja niiweke kwenye simu sasa hv....lakini sms hata kwenye pc nazipokea na kujibu...samahani kaka.