marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Monitor flat 19inch, 2.8GHZ CPU, Keyborad na mouse @ 150,000/=. Nipo Dar es salaam, ninaziuza kwa sababu nimenunua Laptop ni PM kama unazihitaji.
Shukrani sana wakuu.
Shukrani sana wakuu.
Monitor flat 19inch, 2.8GHZ CPU, Keyborad na mouse @ 150,000/=. Nipo Dar es salaam, ninaziuza kwa sababu nimenunua Laptop ni PM kama unazihitaji.
Shukrani sana wakuu.
ram 256mb,unaweza ongeza throti zipo 4,hdd 40gb,nyingine 120gb,zipo katika hali nzuri,hivi sasa ninavyo andika zanapiga mzigo kama kawaida.harddisk na ram zinaukubwa gani?
weka mawasiliano achana na habari za pm, btw mi Nina 100.Monitor flat 19inch, 2.8GHZ CPU, Keyborad na mouse @ 150,000/=. Nipo Dar es salaam, ninaziuza kwa sababu nimenunua Laptop ni PM kama unazihitaji.
Shukrani sana wakuu.
weka mawasiliano achana na habari za pm, btw mi nina 100.
simu 0658327429, compyuta hizi kwa siku zinaingiza zaidi ya 6000/= na ni imara sana,100000/= haina maslahi
bado zipo nipo dar
dar vingunguti,nicheki no 0658327429dar kubwa sehemu gan mie nahitaji nami nko dar mwenge apa
kaka wewe ndio una jipya....hebu thibitisha mbele ya great thinkers wizi wangu......halafu jifunze kufikiria kabla ya kuandika....ukiendelea kuwa na tabia hii,utapata shida kwenye maisha.Huyu muuza desk top mwizi kichiz, hana jipya kaeni chonjo
kaka wewe ndio una jipya....hebu thibitisha mbele ya great thinkers wizi wangu......halafu jifunze kufikiria kabla ya kuandika....ukiendelea kuwa na tabia hii,utapata shida kwenye maisha.
kaka samahani sana,...ila ungesema tu mbona simu yako haipatikani ingekuwa sawa zaidi....okey line yangu wkt unapiga iko kwenye modem...ngoja niiweke kwenye simu sasa hv....lakini sms hata kwenye pc nazipokea na kujibu...samahani kaka.Umeweka cont hapo lkn hata hupatikani so inakuwake hapo mkuu na watu ....tunamaanisha
kama unazo nyingi ntakutafuta mwenzi wa.pili nataka deaktop mbili na laptop moja