Zinaa imekithiri, magonjwa yameongezeka sana

Mdau hii ni kawaida sana siku hizi aidha iwe ni maadili au nje na maadili. Sehemu nyingi wagonjwa au wateja wa vipimo vya damu wakishachukuliwa damu jamaa wa huduma ya afya wanajiongeza kuzipima hata HIV pasipo wateja kujua, utaletewa majibu ya malaria etc huku washabaki na sample au majibu kukuhusu wewe habari ya ngoma.
Vipimo visivyo shirikishi na visivyo husishi na visivyo hiari na blind testing.
Be warned jali afya yako. Kupata data za maambukizi kwa hiari na shirikishi haileti mutikio, data za kutosha hivyo hii mbinu ya kujiongeza ina matunda sana.

Kwamba inafaa na ni haki haihusu muhimu jichunge na jihadhari daima.

Matabibu kujeni hapa wajameni.
Ni kweli, hospitali siku hizi ukienda hata kama unaumwa macho utapimwa na huu ugonjwa tu. Unashangaa ugonjwa ulokupeleka hauna mahusiano na maabara ila unaambiwa kwenda maabara.
 
Kila kiumbe hai ni mfu aliye hai,

Sasa sijajua hofu ya kifo ni nini wakati mwisho wa siku wote lazima tufe.
 
Vitombi vinavyojitetea sasa!! Endeleeni tu kujisifia ujinga.
Bora umeona hilo nauhakika wote waliojitetea huku ndyo walengwa yaan imewapaini mapovu yanawatoka wanajua jinsi gan wameyakanyaga ukiwaambia sa hv wapime ni murder kesi unatafuta..mtulie dawa izidi kuwaingia taratiibbb ..Mola kaleta ugonjwa wa Ukimwi kama adhabu ya wazinifu na halina dawa mpk hapo jifikirieni starehe ya mda mfupi unaugulia miaka
 
huyo ameonesha ni jinsi gani amepima zaidi ya mara 20 ,lakini majibu bado ni + ... SO anashangaaa haaaminiii macho yake paleeeee
 
Ugonjwa ni kama myths halafu nyinyi fackeni mnajikuta ushauri na nasaha ndio mnaambukizwaga mazafaka


Ona sasa umejipima mara ishirini majibu yanatoka positive bado huamini tu pole sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bora umeona hilo nauhakika wote waliojitetea huku ndyo walengwa yaan imewapaini mapovu yanawatoka wanajua jinsi gan wameyakanyaga ukiwaambia sa hv wapime ni murder kesi unatafuta..mtulie dawa izidi kuwaingia taratiibbb ..Mola kaleta ugonjwa wa Ukimwi kama adhabu ya wazinifu na halina dawa mpk hapo jifikirieni starehe ya mda mfupi unaugulia miaka
Acha kumsingizia mungu mambi ya kipumbafu.
 
Back
Top Bottom