RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,713
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema Bara la Afrika lipo tayari kujitoa katika Umoja wa Mataifa (UN) iwapo madai yake ya kutaka mabadiliko katika umoja huo hayatatekelezwa.
Mugabe ametoa kauli hiyo mara tu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kupokelewa na mamia ya wanachama wa chama tawala ZANU-PF na kulakiwa akitokea New York, Marekani.
Amesema kuwa Umoja wa Afrika (AU) unajiandaa kuunda kundi la kusimamia kujitoa likijumuisha mataifa mengine kama Urusi, Uchina na India iwapo Baraza la Usalama la UN halitajumuisha wanachama kutoka katika Bara la Afrika hapo mwakani.
Akihutubia Baraza Kuu la UN, Jijini NewYork, Mugabe alizishutumu nchi za magharibi kwa kuchangia kudorora kwa uchumi na kupelekea hali kuwa mbaya sana katika nchi yake.
==============================
PRESIDENT Robert Mugabe claimed Saturday said African countries and nations from other regions such as Asia are prepared to pull out of the 70-year-old United Nations and form a rival organisation.
The Zimbabwean leader said that the idea follows numerous bids by the Africa Union to join the United Nations Security Council which have been blocked being blocked some council states.
He was addressing thousands of Zanu PF supporters gathered at Harare International Airport to welcome him back home from the United Nations General Assembly which was held in New York last week
Currently the five UN security council members are China, Russia, Britain, France, and United States.
“This year we went to UN as an African committee after we agreed to join hands and speak with one voice on the issue of vetoing power,” said the 92-year-old leader.
“It’s unfortunate that we had not finished and agreed on our position as the African Union, but I hope all will be fine next year.”
“But next year in September if they keep on refusing to accept and give the Africa Union the vetoing powers we will pull out.”
He went on to say that not all countries were against the AU’s membership of the security council, revealing that Russia and China backed Africa’s position.
Source: New Zimbabwe
Mugabe ametoa kauli hiyo mara tu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kupokelewa na mamia ya wanachama wa chama tawala ZANU-PF na kulakiwa akitokea New York, Marekani.
Amesema kuwa Umoja wa Afrika (AU) unajiandaa kuunda kundi la kusimamia kujitoa likijumuisha mataifa mengine kama Urusi, Uchina na India iwapo Baraza la Usalama la UN halitajumuisha wanachama kutoka katika Bara la Afrika hapo mwakani.
Akihutubia Baraza Kuu la UN, Jijini NewYork, Mugabe alizishutumu nchi za magharibi kwa kuchangia kudorora kwa uchumi na kupelekea hali kuwa mbaya sana katika nchi yake.
==============================
PRESIDENT Robert Mugabe claimed Saturday said African countries and nations from other regions such as Asia are prepared to pull out of the 70-year-old United Nations and form a rival organisation.
The Zimbabwean leader said that the idea follows numerous bids by the Africa Union to join the United Nations Security Council which have been blocked being blocked some council states.
He was addressing thousands of Zanu PF supporters gathered at Harare International Airport to welcome him back home from the United Nations General Assembly which was held in New York last week
Currently the five UN security council members are China, Russia, Britain, France, and United States.
“This year we went to UN as an African committee after we agreed to join hands and speak with one voice on the issue of vetoing power,” said the 92-year-old leader.
“It’s unfortunate that we had not finished and agreed on our position as the African Union, but I hope all will be fine next year.”
“But next year in September if they keep on refusing to accept and give the Africa Union the vetoing powers we will pull out.”
He went on to say that not all countries were against the AU’s membership of the security council, revealing that Russia and China backed Africa’s position.
Source: New Zimbabwe