ZIMBABWE: Mugabe atishia Afrika kujitoa Umoja wa Mataifa

RUCCI

JF-Expert Member
Oct 6, 2011
1,701
1,713
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema Bara la Afrika lipo tayari kujitoa katika Umoja wa Mataifa (UN) iwapo madai yake ya kutaka mabadiliko katika umoja huo hayatatekelezwa.

Mugabe ametoa kauli hiyo mara tu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kupokelewa na mamia ya wanachama wa chama tawala ZANU-PF na kulakiwa akitokea New York, Marekani.

Amesema kuwa Umoja wa Afrika (AU) unajiandaa kuunda kundi la kusimamia kujitoa likijumuisha mataifa mengine kama Urusi, Uchina na India iwapo Baraza la Usalama la UN halitajumuisha wanachama kutoka katika Bara la Afrika hapo mwakani.

Akihutubia Baraza Kuu la UN, Jijini NewYork, Mugabe alizishutumu nchi za magharibi kwa kuchangia kudorora kwa uchumi na kupelekea hali kuwa mbaya sana katika nchi yake.
==============================

PRESIDENT Robert Mugabe claimed Saturday said African countries and nations from other regions such as Asia are prepared to pull out of the 70-year-old United Nations and form a rival organisation.

The Zimbabwean leader said that the idea follows numerous bids by the Africa Union to join the United Nations Security Council which have been blocked being blocked some council states.

He was addressing thousands of Zanu PF supporters gathered at Harare International Airport to welcome him back home from the United Nations General Assembly which was held in New York last week

Currently the five UN security council members are China, Russia, Britain, France, and United States.

“This year we went to UN as an African committee after we agreed to join hands and speak with one voice on the issue of vetoing power,” said the 92-year-old leader.

“It’s unfortunate that we had not finished and agreed on our position as the African Union, but I hope all will be fine next year.”

“But next year in September if they keep on refusing to accept and give the Africa Union the vetoing powers we will pull out.”

He went on to say that not all countries were against the AU’s membership of the security council, revealing that Russia and China backed Africa’s position.


Source: New Zimbabwe
 
Alipojua kwenye mkutano aliomba USA waiondolee vikwazo Zimbabwe kwa kuwa hali imekua ngumu ila baada ya kufika Zimbabwe airport anazungumza Afrika itajitoa UN isipopata ushiriki wa kudumu na kukaa kimya kutoongelea kabisa swala aliloliibua Rais wa Botswana kuwa kukua kwa Uchumi Zimbabwe kunahitaji damu changa..
 
Kwan aliemwambia kuwa nchi zote africa ni washirika wa russia na china ni nan?
 
Juzi si kawaomba hao hao wamuondolee vikwazo, halafu si nchi zote za Afrika ni washiriki wa Russia na China.
 
Hivi mikataba ya uhuru kwa nchi za kiafrika inasemaje juu ya ushirikiano na UN kwa nchi zilizokuwa zikiwatawala?
Yawezekana nguvu kubwa ya nchi kubwa katika UN ni pamoja na umiliki wa nchi changa kiuchumi,hivyo kuzipa nguvu ya kusema nchi changa ni kuleta mtafaruku wa uchumi ndani ya UN.
Ni bora hali hii ikaendelea kuliko Africa kupata viti katika UN alafu viti hivyo vikatumika kuiuza Africa.
 
Masunga Maziku unachonionesha kuhusu Mugabe ni nini? sasa hivi anataka msaada wa jumuiya za kimataifa au Nchi majirani kunusuru hali iliyopo..Mugabe huyu tunaemfahamu leo anaomba vikwazo vitolewe na kukaa kimya kuhusu Rais wa Botswana alivyomwambia aondoke amwachie damu changa na asiwe mke wake yupo kimya mpaka leo unaleta clip za zamani ili iweje..
 
Huyu jama cyo mtu wa mchezomchezo,,,,,sema hataki kuachia madaraka,,,huenda ndo sabab ya kidorora kwa uchum nchin mwake!
 
mugabe ni mkweli ....ila tatizo la viongozi wengi wa afrika ni vibaraka na wasaliti......big up mugabe
Fuatilia hotuba yake alipokuwa UN, alilalamikia vikwazo na akomba vifutwe sababu nchi yake inateseka. Hajasema lolote kuhusu kujitoa. Tafuta kwenye jarida la UN utaona alichokisema na hiki cha sasa.
 
Maziku huyo anataka kuishawishi AU kwa mambo yake binafsi maana alishaenda China wakaprint yuan ili ianze kutumika Zimbabwe na kuziondoa Rand na Dola akiwatuhumu SA pia kwa kuwashinikiza Wazimbabwe waendelee kuandamana miezi miwili iliyopita alipiga marufuku vitu kutoka SA ikiwa njia ya kutokubaliana na kama unakumbuka walichoma boarder waandamaji pamoja na baadhi ya magari yaliyokuepo..Muungano wa China,Russia na Africa haupo aungane nao yeye mwenyewe kama una manufaa kwake..
 
Words makes a lot of sense to be honestly
U.N. its really unfair kabisa
Wewe unachangia senti 10 wenzako wanatoa billion then unataka wote muwe na haki sawa katika maamuzi,mkata check kubwa ndio anaamua kama hutaki hama
 
Masunga Maziku naona nikurudishe nyuma kidogo kwenye mambo ya Umoja wa Afrika ili twende sawa na ujue Viongozi wengi wa Africa ni wanafiki hawajui wanachokisimamia kesi hii Mh Magufuri hayupo,South Africa hasa ANC wamesaidiwa sana fedha katika ukombozi wa SA kutoka kwa Gadaffi kama unakumbuka Gadaffi aliwekewa vikwazo Nchi yake ilikua hairuhusiwi kutua ndege kutoka nje au kutoka Mandela alivyotoka tuu Nchi ya pili kuzuru baada ya Tanzania ilikua Libya,USA walimkataza kwenda kwa ndege alipanda ndege mpaka Nchi jirani harafu Libya akaingia kwa Gari..kumbuka Gadaffi ndie alikua mhamasishaji wa kuwa na umoja wa Africa wenye nguvu na Libya kuchangia 50% na Africa wawe na chombo cha Fedha cha kukopa kwa ajili ya maendeleo kama hujui USA na washirika wake waliona Gadaffi anaitoa Africa kwenye mfumo wa kukopa benki ya Dunia wakatengeneza mazingira ya kumuua kupitia ubalozi wa USA libya mpaka kutengeneza kikundi cha waasi wa Gadaffi yule balozi wa USA libya aliua pia baada ya kugundulika kipindi chote hicho hakuna hata Rais mmoja wa Africa au hiyo AU kupinga huo uvamizi au kutaka kumuhifadhi Gadaffi hata Zuma akulisemea hilo ingawaje kipindi cha ubaguzi SA wao Zuma,Mandela,Mbeki,Lamaphosa,Sisulu wamepokea fedha na msaada wa mafuta kutoka Libya kipindi cha ubaguzi mpaka Mandela anapew kesi ya kusafiri Nchi za Nje bila kibali alienda Libya akitumia passport ya Tanzania kwa maelezo ya Mh Kikwete kwenye msiba SA ukitaka maelezo ya Mugabe ntakupa pia kwa nini alienda kuomba aondolewe vikwazo sasa na si kipindi kingine ntakupa tuu..,
 
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema Bara la Afrika lipo tayari kujitoa katika Umoja wa Mataifa (UN) iwapo madai yake ya kutaka mabadiliko katika umoja huo hayatatekelezwa.

Mugabe ametoa kauli hiyo mara tu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kupokelewa na mamia ya wanachama wa chama tawala ZANU-PF na kulakiwa akitokea New York, Marekani.

Amesema kuwa Umoja wa Afrika (AU) unajiandaa kuunda kundi la kusimamia kujitoa likijumuisha mataifa mengine kama Urusi, Uchina na India iwapo Baraza la Usalama la UN halitajumuisha wanachama kutoka katika Bara la Afrika hapo mwakani.

Akihutubia Baraza Kuu la UN, Jijini NewYork, Mugabe alizishutumu nchi za magharibi kwa kuchangia kudorora kwa uchumi na kupelekea hali kuwa mbaya sana katika nchi yake.
==============================

PRESIDENT Robert Mugabe claimed Saturday said African countries and nations from other regions such as Asia are prepared to pull out of the 70-year-old United Nations and form a rival organisation.

The Zimbabwean leader said that the idea follows numerous bids by the Africa Union to join the United Nations Security Council which have been blocked being blocked some council states.

He was addressing thousands of Zanu PF supporters gathered at Harare International Airport to welcome him back home from the United Nations General Assembly which was held in New York last week

Currently the five UN security council members are China, Russia, Britain, France, and United States.

“This year we went to UN as an African committee after we agreed to join hands and speak with one voice on the issue of vetoing power,” said the 92-year-old leader.

“It’s unfortunate that we had not finished and agreed on our position as the African Union, but I hope all will be fine next year.”

“But next year in September if they keep on refusing to accept and give the Africa Union the vetoing powers we will pull out.”

He went on to say that not all countries were against the AU’s membership of the security council, revealing that Russia and China backed Africa’s position.


Source: New Zimbabwe


The poor little septugenarian is advocating withdrawal from the UN so they can use the veto to steal from their people, intimidate and kill political opponents without anyone rising a finger similar to what the AU did to shield Uhuruto from crimes against humanity at the Hague!
mugabe ni mkweli ....ila tatizo la viongozi wengi wa afrika ni vibaraka na wasaliti......big up mugabe
 
Haya maelezo umeyatoa wapi? Ni kweli Mandela alitumia pasipoti ya Tanzania kusafiria nje ya taifa lake.

Na ni kweli fedha za Gaddafi zilitumika katika kutafuta ukombozi wa Afrika ya Kusini.

Ni kweli pia fedha za Gaddafi zilikuwa kwenye mpango wa kuboresha benki ya Afrika lakini mpango wake haukufanikiwa! Hii ni kutokana na kupata upinzani mkali kutoka kwa benki za IMF na WB, ambazo kwa kiasi kikubwa zinamilikiwa na mataifa ya magharibi kunyonya mataifa masikini!

Lakini si kweli kuwa Umoja wa Afrika na viongozi wa Afrika walikuwa hawana msaada kwa Gaddafi! Viongozi wa Afrika kupitia umoja wao, AU walikuwa tayari wameshatoa mapendekezo ya nini kifanyike ili kuinusuru Libya kuingia kwenye machafuko.

Na hayo mapendekezo tayari yalishakubaliwa baina ya pande zote mbili. Lakini nia na madhamuni ya nchi za magharibi ilikuwa ni kuundoa utawala wa Libya na uhai wa Gaddafi.

Jaribu kuangalia haya mahojiano ya aliyekuwa mwenyekiti wa AU kipindi hicho, Jacob Zuma. Amefafanua vizuri sana kuhusu; hatma ya Afrika baada ya mpango wa Gaddafi kutofanikiwa, machafuko ya Libya na kile kinachoendelea Syria hivi sasa. Pia amegusia mabadiliko ya kimuundo wa benki za IMF na WB, na uhusiano uliopo kati ya China na Afrika..

Baadae alikuja kuzungumza Robert Mugabe kwenye mkutano wa UN..

Lakini hivi karibuni mataifa ya magharibi haya haya yaliyoshiriki kumtoa Gaddafi yamekiri kuwa yalifanya makosa.! Sasa tutaendelea kuwa wanyonge hivi hadi lini?

Ujue hivi vyombo vya habari vya magharibi vinapotosha sana walimwengu. Kuna tofauti kubwa sana kati ya "kuomba" na "kudai".

Jaribu kuangalia tena hotuba yake ya kwanza kuhusu Zimbabwe kuondolewa vikwazo.

Huyu rais Mugabe haombi kama tunavyoaminishwa na vyombo vya habari vya magharibi bali anadai kile anachokiamini kuwa ni haki kwa taifa lake la Zimbabwe.



Aombe au Adai haimsaidii, angalia sasa Zim is on the abbys to self destruction! Mugabe has overstayed his usefullness, hiyo kuomba au kudai whichever is a more glorified way of putting it; alitakiwa afanye mwaka 1990, akakaidi akifikiri nchi hufanikiwa kiuchumi kwa speech za kibabe na kuigeuza nchi a family property! Imekula kwake, sasa wazimbabwe wanataka kureplicate alichilofanyiwa Gadafi, Zim revolution 2 is in the offing! Stay tuned.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom