Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,732
- 215,909
Habari za leo wapendwa,
Wengi wetu mpaka tumefika form six ndiyo unapata first boyfriend na ahadi kibao, wakati huo hujajua chuoni utapangiwa wapi, mawasiliano Enzi zile hayakuwa kama yalivyo sasa hivi, barua unasubiri wiki mbili, mobile zilipoingia kupiga simu ilikuwa gharama sana tuliishia mwendo wa kutext, whats up ilikuwa ni ndoto ya mchana.
Nilikutana na dada mmoja yeye na mume wake walifanikiwa kutimiza ahadi waliyopeana shule, jamaa alianza kubangaiza alipowin maisha tu alilipa mahari na walianza kushi pamoja na sasa wana watoto, ndoa ya kanisani walifunga baadae sana.
Kwa wengi ahadi zile hazitimii kutokana na hali ya uchumi, wakati huo kijana bado anatafuta na mdada anakutana na mtu ambae ni already made, ukiangalia yule aliyekuahidi bado anaishi kwenye chumba, hajui hata kesho itakwenda vipi, mkaka anakutokiea ana ka usafiri, amepangisha nyumba nzima Sinza, unafikiria maisha. Ni wachache wanaokuwa na subira kwa kweli.
Wengi wetu mpaka tumefika form six ndiyo unapata first boyfriend na ahadi kibao, wakati huo hujajua chuoni utapangiwa wapi, mawasiliano Enzi zile hayakuwa kama yalivyo sasa hivi, barua unasubiri wiki mbili, mobile zilipoingia kupiga simu ilikuwa gharama sana tuliishia mwendo wa kutext, whats up ilikuwa ni ndoto ya mchana.
Nilikutana na dada mmoja yeye na mume wake walifanikiwa kutimiza ahadi waliyopeana shule, jamaa alianza kubangaiza alipowin maisha tu alilipa mahari na walianza kushi pamoja na sasa wana watoto, ndoa ya kanisani walifunga baadae sana.
Kwa wengi ahadi zile hazitimii kutokana na hali ya uchumi, wakati huo kijana bado anatafuta na mdada anakutana na mtu ambae ni already made, ukiangalia yule aliyekuahidi bado anaishi kwenye chumba, hajui hata kesho itakwenda vipi, mkaka anakutokiea ana ka usafiri, amepangisha nyumba nzima Sinza, unafikiria maisha. Ni wachache wanaokuwa na subira kwa kweli.