MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 883
- 852
Zifuatazo ni tofauti kati ya CCM na CHADEMA.
1. Kuchukua hatua dhidi ya viongozi wake wanaotuhumiwa na ufisadi na kushindwa kiutendaji:. CCM imeshuhudiwa ikiwabadilisha Yusuph Makamba, Wilson Mukama baada ya kushindwa kwenda na kasi. Pia serikali ya CCM imekuwa ikichukua hatua dhidi watendaji wake wanaotuhumiwa kwa ufisadi mfano Lowassa, mawaziri kadhaa na watendaji wengine. Mtakumbuka sakata la Dr. Nchimbi, Kagasheki na wengine walipowajibika kwa makosa ya wengine. Hii ni tofauti kwa chadema ambapo pamoja na viongozi wake wakuu kama Mbowe na Dr. Slaa kutuhumiwa kwa ufisadi bado wameendelea kupeta. Aidha Wilfred Lwakatare hajachukuliwa hatua had I sasa mbali na ushahidi Wa video kuwa alishiriki kupanga ugaidi. Kada Wa chadema Ben Saanane anadunda tu mbali na kutuhumiwa kutoka kumuua Zitto kwa kutumia simu.
2. Uchaguzi Wa kidemokrasia: CCM Yangu kuanza kwake upon utaratibu Wa kubadilisha safu ya uongozi na has a ngazi ya taifa. Kwa chadema ni ndoto. Yangu na Yangu ni Mbowe tu!
3. Kujiimarisha kimiundombinu; CCM kinatumia ruzuku take kuwalipa mishahara mizuri viongozi wake, kujengea na kukarabati ofisi za chama ngazi zote na pia kununulia vyombo vya usafiri makatibu wake walau Wa wilaya na mkoa. Hii ni tofauti na CHADEMA ambapo ruzuku inatumika kujenga nyumbani na makasiri ya Mbowe huko Dubai, Afrika kusini na Marekani. Huwezi amino chadema hakuna hata ofisi take moja ya kujenga yenyewe, pale ufipa ni jengo LA Mbowe ambalo chama kimeazima!. Ukienda mikoani ni aibu, viofisi utadhàni viota! Mfano nzuri ni kiota cha mkoa Wa Ruvuma pale Mfaranyaki, ni aibu!
4. Sura ya utaifa:. CCM kina sura ya utaifa kwa maana ya kubeba makabila na dini tofauti tofauti. Kwa chadema ni akina " aroo mangi nipatie era Yangu nilokukopesha juzi aroo!". Ni habari kwa chama kinachotafutwa kuungwa mkono na watz wrote huku chenyewe kina sura ya ukabila.
Tofauti zingine zaidi.....
1. Kuchukua hatua dhidi ya viongozi wake wanaotuhumiwa na ufisadi na kushindwa kiutendaji:. CCM imeshuhudiwa ikiwabadilisha Yusuph Makamba, Wilson Mukama baada ya kushindwa kwenda na kasi. Pia serikali ya CCM imekuwa ikichukua hatua dhidi watendaji wake wanaotuhumiwa kwa ufisadi mfano Lowassa, mawaziri kadhaa na watendaji wengine. Mtakumbuka sakata la Dr. Nchimbi, Kagasheki na wengine walipowajibika kwa makosa ya wengine. Hii ni tofauti kwa chadema ambapo pamoja na viongozi wake wakuu kama Mbowe na Dr. Slaa kutuhumiwa kwa ufisadi bado wameendelea kupeta. Aidha Wilfred Lwakatare hajachukuliwa hatua had I sasa mbali na ushahidi Wa video kuwa alishiriki kupanga ugaidi. Kada Wa chadema Ben Saanane anadunda tu mbali na kutuhumiwa kutoka kumuua Zitto kwa kutumia simu.
2. Uchaguzi Wa kidemokrasia: CCM Yangu kuanza kwake upon utaratibu Wa kubadilisha safu ya uongozi na has a ngazi ya taifa. Kwa chadema ni ndoto. Yangu na Yangu ni Mbowe tu!
3. Kujiimarisha kimiundombinu; CCM kinatumia ruzuku take kuwalipa mishahara mizuri viongozi wake, kujengea na kukarabati ofisi za chama ngazi zote na pia kununulia vyombo vya usafiri makatibu wake walau Wa wilaya na mkoa. Hii ni tofauti na CHADEMA ambapo ruzuku inatumika kujenga nyumbani na makasiri ya Mbowe huko Dubai, Afrika kusini na Marekani. Huwezi amino chadema hakuna hata ofisi take moja ya kujenga yenyewe, pale ufipa ni jengo LA Mbowe ambalo chama kimeazima!. Ukienda mikoani ni aibu, viofisi utadhàni viota! Mfano nzuri ni kiota cha mkoa Wa Ruvuma pale Mfaranyaki, ni aibu!
4. Sura ya utaifa:. CCM kina sura ya utaifa kwa maana ya kubeba makabila na dini tofauti tofauti. Kwa chadema ni akina " aroo mangi nipatie era Yangu nilokukopesha juzi aroo!". Ni habari kwa chama kinachotafutwa kuungwa mkono na watz wrote huku chenyewe kina sura ya ukabila.
Tofauti zingine zaidi.....