Zijue tabia za watu waovu waliowahi kuishi duniani

Criterion

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
11,798
11,881
Tabia ovu na ukatili wa watu wazima, unaweza kuwa located kwa tabia zao katika maisha ya kawaida wakiwa katika ngazi za chini.

Watu hawa hufurahia katika unyama na mateso kwa watu wengine, tabia ambazo hudhihirika zaidi wanapozidi kupanda ngazi.

Angalia hapa, kisha uwe makini.

 
Ninaomba tujadili tabia za asili za watu mashuhuri hapa kwetu, tulinganishe na tabia zao katika kuendesha majukumu yao na yanayojiri katika himaya zao.

Mfano Bashite historia yake ni kutokuelewa masomo ya drasani.

Lakini ameonekana ni maarufu katika kujipendekeza kwa watu maarufu, tangu akiwa kwa shangazi yake Mama Kamese, na hili limethibitika kwa kujiungamanisha na familia za kikwet akiwafunga na gidamu za viatu, kufagia kwa famili ya Membei, kujiunganisha na familia ya maehremu Six, na hadi sasa kwa Magu ambaye hasikii wala haoni hadi atakapokuwa amechelewa.

Imefahamika ni mzuri wa kumanuva. Aliposhdikwa kidato cha nne, akatafuta cheti cha kugushi akakitumia kusoma uvuvi ambako, kikampeleka hadi alipoenda chuo. Pamoja na kuzungusha chuo, lakini aka manuva kwa bao la mkono kupewa gamba.

Bunge la katiba, wakati Jaji Warioba akifana mikutano ya kuwaelimish awatanzania juu ya katiba, jamaa huyu huyu alipanga mpango wa kumfanyia fujo jaji kwa maslahi ya watu wachache wanaofaidika na katiba mbovu gandamizi. Walioba kafanyiwa uhuni chini ya uratibu wa huyu jamaa na tunaona akawa rewarded u DC.

Inaonekana yuko tayari kufanya uharamia wowote ili ajenge kibali kwa wanaotumia kwa kuwa hana sifa nyingine yoyote ya kumpaisha. Juzi aksema waliotekwa kina Roma watapatikana kabla ya jumapili, na kweli weekend hiyo wakaachiwa lakini "kwa masharti ya kuachiwa", ambayo hawajayaongea.

Huyu jamaa umaarufu wake unawiana na yanayotokea sasa kwenye himaya yake. Bila shaka kwa anavyohifahdiwa, ataendelewa kupanda gani kwa sifa za ufanisi kwenye hiyo fani yake. Je anavyozidi kpanda na kupandikiza huku akiimarisha genge la sifa kama zake, hatima ya nchi yetu ni ipi?
 
Tabby ni muda wa kulijenga Taifa hili changa sio kulibomoa,mada kama hizo unazileta ili kuongeza chuki kwa mwanainchi wa kawaida kwa Serikali wewe ukitaka kutuaminisha kuwa Serikali ndogo inatutesa na viongozi wake.

Kwa upande wangu binafsi Pamoja na kuheshimu mada na maoni kwa mujibu wa kanuni zetu hapa JF lakini hili hapana kwasababu unajambo baya unataka kutuletea Tanzania ambalo halipo.
 
Mbowe...huyu amewafanyia figisu figisu wanachama wote wa CHADEMA wanaotaka kugombea uwenyekiti wa chama...Zitto ametimuliwa kama mbwa kwa ajili ya waraka tu wa kutaka kugombea uwenyekiti wa chama...amefanya CHADEMA kama mali yake binafsi....ruzuku ya chama anaitumia apendavyo hakuna wa kumuhoji.....huu ni Zaidi ya udikteta kama chadema wangeshika dola nchi ingeendeshwa kwa mkono wa chuma!
 
Tabby ni muda wa kulijenga Taifa hili changa sio kulibomoa,mada kama hizo unazileta ili kuongeza chuki kwa mwanainchi wa kawaida kwa Serikali wewe ukitaka kutuaminisha kuwa Serikali ndogo inatutesa na viongozi wake.

Kwa upande wangu binafsi Pamoja na kuheshimu mada na maoni kwa mujibu wa kanuni zetu hapa JF lakini hili hapana kwasababu unajambo baya unataka kutuletea Tanzania ambalo halipo.

Mkuu, mimi sina agenda wala jambo baya ninalolileta. Tunajadili yaliyopo. Kipi kigeni nilichokianzisha? Historia ya Hilter na wenzake tunajifunza na tulijifunza mashuleni. Siyo mimi niliianzisha na mitaala sikuandaa mimi. Habari za kina Dracula zimejaa kwenye mikdanda ya video inayokodishwa kila mahala. Habari kama za Iddi Amimi mimi sikuzisoma lakini nilikuweko msitu mnene kumfurusha na ili taifa litupe support kila mtu hadi mtoto mdogo aliambiwa habari zake. Sasa hapa kiongozi unayetaka tumfiche asijue tabia za watu waovu hawa ni nani? Ni hawa watoto wa dot com ambao hawana tabia ya kujifinza wala kusoma vitabu?

HIvi ujui kama information is power na wanavyoelewa ndivo wanavyokuwa na uwezo wa kutofautisha viashiria vyema na viovu ili wajue namna ya kubehave na kufanya maamuzi sahihi katika maisha kwa ajili yao na vizazi vyao vijavyo? Huoni pia itawasaidia kukemea viashiria vya taibia mbovu kw awatoto wao ambavyo ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu? Au mkuu unataka ukifa wewe taifa linaokuja liwe la watu wapumbavue majuha waisojitambua na wasio n auwezo hata wa kujenga taifa safi na salama?

Unaposema taifa changa lina umuri gan imkuu? Linakua changa hadi miaka mingapi? Hujui kama siyo changa ila limedumazwa na maammuzi mabaya yanayofanywa kwa mfumo wa maamuzi usio sahihi? ;p

Kam ahizi habari zingelikuwa zinaua taifa changa basi taifa lingekufaga kabla ya uhuru kwa sababu hizi habari zilifundishwa dunia nzima na watu wakapata maarifa ya kufanya better choices kwa ujenzi wa taifa bora na kuepuka watu aina hilyo.

Tanzania ni nchi pana. Tena ni taifa liliojaliwa kw avipaji na raslimali lukuki. Hatuwezi kufungwa vichwa tusiongee habar za watu wachache waovu waliowekwa mahala kimakosa as if wakitok ataifa linakufa. Bado Tanzania ian watu wengi sana sahihi na wenye uwezo. Hauatwei kunyamaza tusielezaje makosa yetu na ya wengine, au kujifunza kwa watu wengine waliotngulia kukosea eti kwa sababu tunamlinda mtu mmoja as if yeye ni Mungu wa taifa. Tanzania ni ya watu wote, tuijenge katika misingi ya kuambizana ukweli, kuhehsimiana, usawa na amani.

Usiwafiche watu ukweli kwa hofu eti watafahamu kitu fulani wakati ni haki ayo kufahamu mazingira yao si kwa ajili ya bashite tu bali ni kwa ajili ya ujenzi bora wa taifa la kesho. By the way bashiete ni mtu mmoja ambaye kama bianadamu wengine kunasikua hatakuwepo. Ubashite wake usikufanye uongope kfundishia misingi bora ya maamuzi au kupand aufahamu kwa watoto wako.
 
Mbowe...huyu amewafanyia figisu figisu wanachama wote wa CHADEMA wanaotaka kugombea uwenyekiti wa chama...Zitto ametimuliwa kama mbwa kwa ajili ya waraka tu wa kutaka kugombea uwenyekiti wa chama...amefanya CHADEMA kama mali yake binafsi....ruzuku ya chama anaitumia apendavyo hakuna wa kumuhoji.....huu ni Zaidi ya udikteta kama chadema wangeshika dola nchi ingeendeshwa kwa mkono wa chuma!

Unapoongea habari za Mbowe eleza sbabu kubwa tatu tu za kwa nini Mwalimu Nyerere alkuwa Mwenyekiti wa TANU na CCM, na akiwa mgombea pekee wa nafasi y auraisi tangu 1954, 1977 ccm hadi anaondoka na kumkabidhi mwinyi 1985? Unajua Mwl alikuwa hataki udikiteta? Kwa kuongoza chama na nchi miaka yote hiyo kwa mujibu wako alikuwa dikitator? JIBU.

Unallalamika habari za luzuku ndani ya chadema kwa sababu umeaminishwa hivyo bila kutumia akili yako kupambanua mambo. Sasa kwanza leta hapa hadharani bila kupiga chenga, Audited Financial Reports za ccm za miaka mitatu tu iliyopita au zozote zilizopo.

3.Zito aligombea lini uenyekiti chadema? Kufkuzwa kwa kina Sphia Simba ccm wewe unakuelezaje?
 
Ninaomba tujadili tabia za asili za watu mashuhuri hapa kwetu, tulinganishe na tabia zao katika kuendesha majukumu yao na yanayojiri katika himaya zao.

Mfano Bashite historia yake ni kutokuelewa masomo ya drasani.

Lakini ameonekana ni maarufu katika kujipendekeza kwa watu maarufu, tangu akiwa kwa shangazi yake Mama Kamese, na hili limethibitika kwa kujiungamanisha na familia za kikwet akiwafunga na gidamu za viatu, kufagia kwa famili ya Membei, kujiunganisha na familia ya maehremu Six, na hadi sasa kwa Magu ambaye hasikii wala haoni hadi atakapokuwa amechelewa.

Imefahamika ni mzuri wa kumanuva. Aliposhdikwa kidato cha nne, akatafuta cheti cha kugushi akakitumia kusoma uvuvi ambako, kikampeleka hadi alipoenda chuo. Pamoja na kuzungusha chuo, lakini aka manuva kwa bao la mkono kupewa gamba.

Bunge la katiba, wakati Jaji Warioba akifana mikutano ya kuwaelimish awatanzania juu ya katiba, jamaa huyu huyu alipanga mpango wa kumfanyia fujo jaji kwa maslahi ya watu wachache wanaofaidika na katiba mbovu gandamizi. Walioba kafanyiwa uhuni chini ya uratibu wa huyu jamaa na tunaona akawa rewarded u DC.

Inaonekana yuko tayari kufanya uharamia wowote ili ajenge kibali kwa wanaotumia kwa kuwa hana sifa nyingine yoyote ya kumpaisha. Juzi aksema waliotekwa kina Roma watapatikana kabla ya jumapili, na kweli weekend hiyo wakaachiwa lakini "kwa masharti ya kuachiwa", ambayo hawajayaongea.

Huyu jamaa umaarufu wake unawiana na yanayotokea sasa kwenye himaya yake. Bila shaka kwa anavyohifahdiwa, ataendelewa kupanda gani kwa sifa za ufanisi kwenye hiyo fani yake. Je anavyozidi kpanda na kupandikiza huku akiimarisha genge la sifa kama zake, hatima ya nchi yetu ni ipi?
Umeweka maelezo chonganishi..na yamkini yakawa hayana ukweli wowote isipokua tu labda umeguswa na huyu mtu ulie na hasira nae basi unataka kuaminisha uma wote kua tuko kwenye nchi ya shida.bado tuko katika nchi ya amani na utulivu,na watu wachache wenye maneno kama haya ndiyo wanaotaka kuvuruga nchi yetu kwa maslahi mjuayo ninyi wenyewe.semeni tu kama mnaitaka Ikulu hata kwa magomvi tuwaelewe ili tuchague kuliko kuleta maneno hapa tuyasome ambayo hata wewe unaweza kua umeyapanga tu na yakawa hayana ukweli wowote
 
Umeweka maelezo chonganishi..na yamkini yakawa hayana ukweli wowote isipokua tu labda umeguswa na huyu mtu ulie na hasira nae basi unataka kuaminisha uma wote kua tuko kwenye nchi ya shida.bado tuko katika nchi ya amani na utulivu,na watu wachache wenye maneno kama haya ndiyo wanaotaka kuvuruga nchi yetu kwa maslahi mjuayo ninyi wenyewe.semeni tu kama mnaitaka Ikulu hata kwa magomvi tuwaelewe ili tuchague kuliko kuleta maneno hapa tuyasome ambayo hata wewe unaweza kua y
Umeyapanga tu na yakawa hayana ukweli wowote


Naomb ufunguke zaidi. Maelezo chonganishi ni yapi? Yapigi msitari tu. Na huyo mtu niliye na chuki naye ni nani? Lete hapa maandiko yangu yote yanayothibitisa hiyo chuki unayoilazimisha kuiingiza katika maelezo yangu. Sina chuki na mtu ytyote. Kama kuan neno lisilo la kwlei, kanusha hapa lakini isijaribu kulazimisha ungovi kati yangu namtu yeyote ambao haupo. Tunajadili hali na siyo ugomvi wa mtu na mtu!. Pls.
 
Naomb ufunguke zaidi. Maelezo chonganishi ni yapi? Yapigi msitari tu. Na huyo mtu niliye na chuki naye ni nani? Lete hapa maandiko yangu yote yanayothibitisa hiyo chuki unayoilazimisha kuiingiza katika maelezo yangu. Sina chuki na mtu ytyote. Kama kuan neno lisilo la kwlei, kanusha hapa lakini isijaribu kulazimisha ungovi kati yangu namtu yeyote ambao haupo. Tunajadili hali na siyo ugomvi wa mtu na mtu!. Pls.
Sina sababu ya kubishana na wewe..nimekuelewa wewe ni mtu wa namna gani,ujuaji mwingi mbele giza maana hujui chochote tuelekeako,asubuhi hii tuko busy shambani tunafanya kazi japo tunapitia na jf.we endelea kusogoa
 
Unapoongea habari za Mbowe eleza sbabu kubwa tatu tu za kwa nini Mwalimu Nyerere alkuwa Mwenyekiti wa TANU na CCM, na akiwa mgombea pekee wa nafasi y auraisi tangu 1954, 1977 ccm hadi anaondoka na kumkabidhi mwinyi 1985? Unajua Mwl alikuwa hataki udikiteta? Kwa kuongoza chama na nchi miaka yote hiyo kwa mujibu wako alikuwa dikitator? JIBU.

Unallalamika habari za luzuku ndani ya chadema kwa sababu umeaminishwa hivyo bila kutumia akili yako kupambanua mambo. Sasa kwanza leta hapa hadharani bila kupiga chenga, Audited Financial Reports za ccm za miaka mitatu tu iliyopita au zozote zilizopo.

3.Zito aligombea lini uenyekiti chadema? Kufkuzwa kwa kina Sphia Simba ccm wewe unakuelezaje?
ok 1. Kipindi cha uongozi wa mwalimu Nyerere kama unavyofahamu wasomi hawakuwepo kama sasa hivi ndio sababu ilikuwa ngumu sana kwa Nyerere kuachia madaraka...angemuachia nani na wasomi hamna? tofauti na sasa hivi CHADEMA kumejaa wasomi wengi wengine wana elimu kubwa kupita Mbowe wana mpaka masters na PHD Mbowe ni form six leaver hata certificate hana.

2. Ingekuwa vyema ungetuwekea matumizi ya ruzuku ya CHADEMA huku mikoani wana CHADEMA wanalalamika sana ruzuku haifiki inaishia makao makuu tu kwa kulipana posho .

3. Yaani umesahau ZITO alichukua fomu ya kugombea uenyekiti wa CHADEMA akabembelezwa sana mpaka CHADEMA wakamtumia mama yake ajitoe? hiyo ndio demokrasia ? Sophia Simba kipindi cha kampeni ya uchaguzi mikakati yote ya CCM alikuwa anampelekea Lowasa tena anaenda kabisa nyumbani kwa Lowasa Masaki amejificha kwa kuvaa baibui kuuubwa na ushahidi upo...na hakuwahi kuomba msamaha
 
Tabby ni muda wa kulijenga Taifa hili changa sio kulibomoa,mada kama hizo unazileta ili kuongeza chuki kwa mwanainchi wa kawaida kwa Serikali wewe ukitaka kutuaminisha kuwa Serikali ndogo inatutesa na viongozi wake.

Kwa upande wangu binafsi Pamoja na kuheshimu mada na maoni kwa mujibu wa kanuni zetu hapa JF lakini hili hapana kwasababu unajambo baya unataka kutuletea Tanzania ambalo halipo.
Taifa lenye miaka 50 na ushee unaliita changa je Sudan kusini utaliitaje .

Ama unatumia vigezo vipi kuliita changa?


Hili ni taifa kongwe lenye umri sawa na mtu mzima mwenye miaka 56 sema ni maskini
 
Mkuu, mimi sina agenda wala jambo baya ninalolileta. Tunajadili yaliyopo. Kipi kigeni nilichokianzisha? Historia ya Hilter na wenzake tunajifunza na tulijifunza mashuleni. Siyo mimi niliianzisha na mitaala sikuandaa mimi. Habari za kina Dracula zimejaa kwenye mikdanda ya video inayokodishwa kila mahala. Habari kama za Iddi Amimi mimi sikuzisoma lakini nilikuweko msitu mnene kumfurusha na ili taifa litupe support kila mtu hadi mtoto mdogo aliambiwa habari zake. Sasa hapa kiongozi unayetaka tumfiche asijue tabia za watu waovu hawa ni nani? Ni hawa watoto wa dot com ambao hawana tabia ya kujifinza wala kusoma vitabu?

HIvi ujui kama information is power na wanavyoelewa ndivo wanavyokuwa na uwezo wa kutofautisha viashiria vyema na viovu ili wajue namna ya kubehave na kufanya maamuzi sahihi katika maisha kwa ajili yao na vizazi vyao vijavyo? Huoni pia itawasaidia kukemea viashiria vya taibia mbovu kw awatoto wao ambavyo ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu? Au mkuu unataka ukifa wewe taifa linaokuja liwe la watu wapumbavue majuha waisojitambua na wasio n auwezo hata wa kujenga taifa safi na salama?

Unaposema taifa changa lina umuri gan imkuu? Linakua changa hadi miaka mingapi? Hujui kama siyo changa ila limedumazwa na maammuzi mabaya yanayofanywa kwa mfumo wa maamuzi usio sahihi? ;p

Kam ahizi habari zingelikuwa zinaua taifa changa basi taifa lingekufaga kabla ya uhuru kwa sababu hizi habari zilifundishwa dunia nzima na watu wakapata maarifa ya kufanya better choices kwa ujenzi wa taifa bora na kuepuka watu aina hilyo.

Tanzania ni nchi pana. Tena ni taifa liliojaliwa kw avipaji na raslimali lukuki. Hatuwezi kufungwa vichwa tusiongee habar za watu wachache waovu waliowekwa mahala kimakosa as if wakitok ataifa linakufa. Bado Tanzania ian watu wengi sana sahihi na wenye uwezo. Hauatwei kunyamaza tusielezaje makosa yetu na ya wengine, au kujifunza kwa watu wengine waliotngulia kukosea eti kwa sababu tunamlinda mtu mmoja as if yeye ni Mungu wa taifa. Tanzania ni ya watu wote, tuijenge katika misingi ya kuambizana ukweli, kuhehsimiana, usawa na amani.

Usiwafiche watu ukweli kwa hofu eti watafahamu kitu fulani wakati ni haki ayo kufahamu mazingira yao si kwa ajili ya bashite tu bali ni kwa ajili ya ujenzi bora wa taifa la kesho. By the way bashiete ni mtu mmoja ambaye kama bianadamu wengine kunasikua hatakuwepo. Ubashite wake usikufanye uongope kfundishia misingi bora ya maamuzi au kupand aufahamu kwa watoto wako.
Pamoja na Maelezo yako mengi kuhusu utetezi wako ktk mada yako lakini so mada nzuri ya kufundisha Watoto kama unavyosema eti ili wapate viongozi bora ktk vizazi vyao.

Na kama ni Mwl basi huwezi kuwa Mwl mzuri kwasababu utawapandikizia Watoto chuki badala ya kuwafundisha tabia nzuri na mambo mazuri ya jinsi ya kuishi ili waweze kufanikiwa ktk maisha yao.

Na watu kama ninyi kwa mafundisho kama hayo nchi zingine unapotezwa tu tena haraka sana wala hakuna muda wa kusubiri wala kudiscuss kwasababu unataka kuleta sumu ktk akili za watu wenye akili timamu ili waanze kufanya mambo ya ovyo na kuvuruga nchi kitu ambacho hakikubaliki Hataki kidogo.
 
Taifa lenye miaka 50 na ushee unaliita changa je Sudan kusini utaliitaje .

Ama unatumia vigezo vipi kuliita changa?


Hili ni taifa kongwe lenye umri sawa na mtu mzima mwenye miaka 56 sema ni maskini
Taifa bado Changa sana hili,kwa akili zako unafikiri miaka 56 basi ni MTU mkubwa sana kama Taifa.
 
Tabby ni muda wa kulijenga Taifa hili changa sio kulibomoa,mada kama hizo unazileta ili kuongeza chuki kwa mwanainchi wa kawaida kwa Serikali wewe ukitaka kutuaminisha kuwa Serikali ndogo inatutesa na viongozi wake.

Kwa upande wangu binafsi Pamoja na kuheshimu mada na maoni kwa mujibu wa kanuni zetu hapa JF lakini hili hapana kwasababu unajambo baya unataka kutuletea Tanzania ambalo halipo.

Kwanini mnateka Watu na kuwanyanyasa?

hii nchi ni yetu sote kueni na utu.
 
Back
Top Bottom