Smart mwananchi
Senior Member
- Jul 17, 2014
- 102
- 50
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firahuni. Jana kwa ujasiri mkubwa mzee mmoja six aliyekuwa waziri ametoka akitetea uongozi uliopita wa TPA na Bodi; shida ya kula mnasahauu hata kunawa. Mzee six alinufaika na uongozi wa TPA kinyume na taratibu nitaorodhesha hapa chini ili mzee na spika wetu aje ajibu asifikiri watu hawamjuii ila ni muda tu wa jipu haujafika
1....TPA ilimnunulia waziri V8 Mpya baada ya kuamishiwa wizara ya uchukuzi alikataa kutumia gari la mtangulizi wake akaagiza TPA wamnunulie gari jipya likanunulia bahati mbaya hawakujua mzee anapenda black color metalic wakaleta silver....ilibidi gari ikabadilishwe rangi kwa gharama za TPA gari mpyaaaaaaa......Mzee sema hapaaaa wakati watu hawana dawa wewe unabishania rangi ya gari mamilioni yakatumika........
2. TPA waliwakopesha TAA ( Tanzania airport Authority) 3 Billion kwa maagizo ya waziri six six kwenda kulipa kampuni iliyotafuta viwanja vya watu walioamishwa kupisha ujenzi wa airport mpya
Kampuni iliyolipwaaa hizo hela mtoto wake mzee Sixsix ni mmiliki Ben..... Mtoto wake anakampuni inaitwaaa Real Estate wamelipwaaa mzee kanushaaa... TISSS chunguzaaaa ukiona mtu mzima analia jua kashikwa pabaya. hekima ya kawaida ungetulia kimya kisu kipite mzee hapa ni Presidaaa Magufuliiiii. 3 Billion za udalaliiiii kudadekiiii
3. Kuna tetesi za ukweli kuwa jamaa walimchangia mzee USD 500000 kwenye kampeni za urais na Basi mzee toka ukanusheeee......
Kwa leo nimeanza na hizo ngoma ni nomaaaa hakuna kupona mtuuuuuu.... Pole sana mzee anyway ujerumani bei ya asali imepanda sana unaweza piga deal za kupeleka huko maana.......
naomba kuwasilisha inauma sana watu wanapokwiba halafu wanatufanya malofaaaa
1....TPA ilimnunulia waziri V8 Mpya baada ya kuamishiwa wizara ya uchukuzi alikataa kutumia gari la mtangulizi wake akaagiza TPA wamnunulie gari jipya likanunulia bahati mbaya hawakujua mzee anapenda black color metalic wakaleta silver....ilibidi gari ikabadilishwe rangi kwa gharama za TPA gari mpyaaaaaaa......Mzee sema hapaaaa wakati watu hawana dawa wewe unabishania rangi ya gari mamilioni yakatumika........
2. TPA waliwakopesha TAA ( Tanzania airport Authority) 3 Billion kwa maagizo ya waziri six six kwenda kulipa kampuni iliyotafuta viwanja vya watu walioamishwa kupisha ujenzi wa airport mpya
Kampuni iliyolipwaaa hizo hela mtoto wake mzee Sixsix ni mmiliki Ben..... Mtoto wake anakampuni inaitwaaa Real Estate wamelipwaaa mzee kanushaaa... TISSS chunguzaaaa ukiona mtu mzima analia jua kashikwa pabaya. hekima ya kawaida ungetulia kimya kisu kipite mzee hapa ni Presidaaa Magufuliiiii. 3 Billion za udalaliiiii kudadekiiii
3. Kuna tetesi za ukweli kuwa jamaa walimchangia mzee USD 500000 kwenye kampeni za urais na Basi mzee toka ukanusheeee......
Kwa leo nimeanza na hizo ngoma ni nomaaaa hakuna kupona mtuuuuuu.... Pole sana mzee anyway ujerumani bei ya asali imepanda sana unaweza piga deal za kupeleka huko maana.......
naomba kuwasilisha inauma sana watu wanapokwiba halafu wanatufanya malofaaaa