Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,473
- 757
Ray C, Lady JayDee na Masoud Kipanya enzi hizo, wadau wenye
mali za Ray C wekeni hapa hivi huyu mdada anamiliki nini?
Ray C, Lady JayDee na Masoud Kipanya enzi hizo, wadau wenye
mali za Ray C wekeni hapa hivi huyu mdada anamiliki nini?
Ray C anamiliki KIUNO chake tu kisicho na mfupa.
Hayo majumba ya kifahari, ndiyo hayo yanaonekana hapo juu?!!! au macho yangu hayaoni!
Inawezekana tafuta mawani...
kina mr Blue
dully sykes
ali kiba
joti
masanja
n.k
sasa hizo ni nyumba za kifahari, au ni nyumba za kujistiri na kuishi kawaida tu?!!!
mkwere pia kuna siku ITV kwenye kipindi cha sanaa na wasanii walionesha nyumba yake.....
anastahili pongezi (samahani mimi si mtaalamu wa habari picha)