101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,053
- 2,152
Hapo awali CCM ilikuwa na Kura za maoni kwa ngazi ya ubunge ambapo wajumbe walionesha nguvu yao kwa chama dhidi ya wagombea wa nafasi za ubunge.
Hivi punde wajumbe kwa ngazi ya kata nao wataonesha makali yao kwenye chama kwa wagombea wa nafasi za udiwani.
Na hizi ndio kauli za wajumbe kwa mgombea
Pichani chini
Ongeza na zako
Hivi punde wajumbe kwa ngazi ya kata nao wataonesha makali yao kwenye chama kwa wagombea wa nafasi za udiwani.
Na hizi ndio kauli za wajumbe kwa mgombea
Pichani chini
Ongeza na zako