Zigooo zigoooo


Hahahahahaa huyu dada ni memba humu JF.....
Tangu siku nyingi anapenda kufanya mazoezi ya kutembea barabarani jioni na jogging. Mwenyewe hana hata habari kuwa anawachelewesha watu, hapo ni pwata pwata pwata pwata kwa maraha yake heheheheheheh ila wanawake tukipata upenyo huwa tunajua kiuutumia aiseeh sio kwa maringo hayo hehehehee. Ila paparazzi nao hawapitwi na tukio looh..... utasema walipanga kumbe imetokea tuu... motion hehehee.

Kasie Cough Kasiba .
 
Anaitwa nani humu!? Sio witnessj kweli!!!!
 
hahahaha huyu namjua, afu yupo humu. nilikaribishwa nikazingua, kumbe ndo alivaa hivi duuh
 
hahahaha huyu namjua, afu yupo humu. nilikaribishwa nikazingua, kumbe ndo alivaa hivi duuh
Mention huyo mtu akuje hapa watu wamedata. Hadi vibabu vya kizungu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…